Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Achana nae huyo, we unavyoona hapo kuna MWANAUME!!!Mmh unauheshimu mchepuko kuliko mke?? Au Sijakuelewa?
Wahehe watundu kunako 6x6Kuna jamaa yangu alishawekwa kwenye huu msururu wakati tunasoma. Yule mtoto wa kihehe ashindwe kwa jina la yesu aseeh.
Alikuwa na wanaume sio chini ya 10 per.
Mshikaji yeye alikuwa ana msaidia class.
Kuna jamaa alikuwa wa kudumu yupo kwao ambaye ndiye kaja kumuoa.
Kuna kibopa wa tigo .
Kuna jamaa mmoja dereva scania.
Hapo hapo chuo alikuwa na jamaa in service wa kozi nyingine yeye alikuwa na x5.
Na wengine kibao. Na mdada alikuwa pin kweli
Umekunywa mbege ya wapi jamnn..Hata sisi tunaipa namba ile ile
Ila hata ukikesha na simu utaambulia patupu, unapekua we mi mwepesiii nazunguka ndani na shughuli zangu huku naimba imba.
"yesu unipendeeee leo kuliko janaa, kuliko janaaa kuliko janaaa..... "
Muishi na sisi kwa akili
TUTAKE RADHI.Umeongea ukweli maana Ujumbe wake umeibua mbinu nyingi sana ambazo zitatumika kuchepuka kwa wale ambao walikuwa si wachepukaji. Tunayajua mengi kupitia comments za akina espy, nao, Nalendwa, Evelyn Salt, demi, Heaven Sent, na wengineo.

KUNA MWANAUME HAPO KUNA MWNEYE KENDE TU!Mmh unauheshimu mchepuko kuliko mke?? Au Sijakuelewa?
HAHAHAHHA!Dah! Ukurasa wa 105 na bado tunatoka povu! We binti Kisia kweli umetupatia wanaume. Hapa lazima tuwe wapole tu. Huu uzi unazidi kudhihirisha kwamba sisi wanaume hatutaki kuamini kwamba
matendo yetu yanaweza pelekea wake/wapenzi wetu wanaweza kufanya maamuzi ya kuchepuka na kisha kufurahia kitendo hicho. Tujitahidi basi kutofanya matendo yanayoweza pelekea wake/wapenzi wetu kuchepuka. Na kama itashindikana
basi matendo hayo yafanyike huku heshima na staha ya wenzi wetu ikipewa kipaumbele
WE UNATAKA TENA SREDI IFIKE 230 page!wanawake wa karne hii mungu awasamehe kwa dhambi mnazotufanyia, yani mwanamke umetolewa mahari kabisa afu unaenda kubanjuliwa nje ya ndoa? et kisa kumkomoa mumeo? ujue wanaume tumeumbwa kua na mwanamke zaidi ya mmoja iyo ni nature kabisa na siyo dhambi coz hata mtu wa mungu mfalme suleiman alikua na wanawake lukuki lakini bado alipendwa na mungu. Hivyo enyi wanawake msitake kushindana na sisi maana sisi tumepewa kibali na mungu kuwamiliki wengi wengi ila ni kosa kubwa kwa mungu mwanamke kua na mume zaidi ya mmoja ua kutoka nje ya ndoa. hivyo nakushauri ukatubu na uache kabisa tabia hiyo la sivyo jiandae kuteketea jehanam.
Labda wazee wa dar wazee wala chipswazee wengi wanakisukari na presha kumbe mnaenjy kutiwa madole. ...
.
tutaanza soon kuwapiga madole
Mkeo demi hajambo? Msalimie yupo kimya kakuaga ameenda wapi tehMmhh...
Mungu awasamehe hamjui mlitendaloWE UNATAKA TENA SREDI IFIKE 230 page!
wenzio tunakaa meza moja sa hizi tunaangalia how best tunaweza kutoka hapa!
WE ENDELEA TU!
WEWE UNAYEJUA UMKUMBUKE PIA MUNGU HUYO HUYO UNAESEMA ALIKUPA RUHUSA NDIYE ALIYESEMA USIZINI!Mungu awasamehe hamjui mlitendalo
AMEEN!Amen. Ubarikiwe sana
Unaelewa maana ya kuzini wewe? Dhambi ya kuzini haimhusu mwanaume inamhusu mwanamke tuWEWE UNAYEJUA UMKUMBUKE PIA MUNGU HUYO HUYO UNAESEMA ALIKUPA RUHUSA NDIYE ALIYESEMA USIZINI!
sasa jiangalie bro!
Nimebaki nashangaa, halafu utakuta mtu kama huyo ni mume wa mtu na baba wa watoto.Achana nae huyo, we unavyoona hapo kuna MWANAUME!!!
OKEY!hayaUnaelewa maana ya kuzini wewe? Dhambi ya kuzini haimhusu mwanaume inamhusu mwanamke tu
Nonsensewanawake wa karne hii mungu awasamehe kwa dhambi mnazotufanyia, yani mwanamke umetolewa mahari kabisa afu unaenda kubanjuliwa nje ya ndoa? et kisa kumkomoa mumeo? ujue wanaume tumeumbwa kua na mwanamke zaidi ya mmoja iyo ni nature kabisa na siyo dhambi coz hata mtu wa mungu mfalme suleiman alikua na wanawake lukuki lakini bado alipendwa na mungu. Hivyo enyi wanawake msitake kushindana na sisi maana sisi tumepewa kibali na mungu kuwamiliki wengi wengi ila ni kosa kubwa kwa mungu mwanamke kua na mume zaidi ya mmoja ua kutoka nje ya ndoa. hivyo nakushauri ukatubu na uache kabisa tabia hiyo la sivyo jiandae kuteketea jehanam.

