Kuchepuka raha

Kuchepuka raha

Haya mambo ukiwaza sana unaweza ishia kutokuoa..

Ndoa na iheshimiwe na Watu Wote, tuheshimu wake/waume za Watu. Tuwahurumie wenzi wao, tuepuke kutegana tegana ili kutoingizana majaribuni.

Mungu anisaidie nilishinde hilo pepo.
Naomba nikutege ya mwishomwisho kabla haujaacha kabisa.
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hv unafahhlam kuw mtu yeyote ataechepuka kwa ajir ya ujumbe wako nawe unakua unashirik zambi za mtu kutika nje ya ndoa na mtu kuzin na wakiacha utakua umechangia kuvunjika kwa ndoa... Kwann ucngekaa kimya tuu ufanye yko kimya kimya nn intension yko ktk jamii, kama chake cha bamia ww je kama unalambo akutangaze ama nini...
 
Eti unalilia dyudyu moja wakati huko nje zimejaa tele!! Si wendawazimu huo!!
Teh teh..Ndo hapo chacha...Nature ya Mapenzi ni kukupa furaha,amani etc..Kwann uteseke sasa..Kama furaha huipati ndani kaifwate hata nje
 
sasa rafiki yangu JIULIZE MWENZIO ALIPOKUWA ANAKUFANYIA KILA KITU ,ABSOLUTE EVERYTHING!

manake nae aliacha kila kitu!
Unajua iko hivi!
wanaume huwa mnaamini huwa tunawaenzi na kuwapa milki kwa kuwa NI WAJIBU WETU!
nikikupa ufalme juu yangu,juu ya maisha yangu,juu ya mwili wangu,juu ya hisia zangu
NI KWA KUWA NIMEAMUA KUACHA YALIYO KINYUME NA HAYO!

so mi huwa nasema kila siku!
I even tell ur shemeji!
OGOPA SANA MWANAMKE ANAYEKUPENDA WAKATI HUSTAHILI UPENDO NA HESHIMA YAKE!(of cuz huistahili kutojana na matendo yako)
MWANAMKE WA AINA HIYO HANA NGUZO YEYOTE YZ KUKUPA NA KUKUFANYIA HAYO ZAIDI YA KUKUPENDA TU MASKIN!


siiiiiiiiku akiamua HIII INATOSHA!
bahati mbaaaya zaidi huwa kauli HII INATOSHA INATOKEA BAADA YA MUDA MREFU SANA!VERY LIKELY NDICHO KIPINDI HATA UMRI WAKO UMESOGEA NA AKILI YA KIMAJUKUMU YAKO IMEONGEZEKA !UNAAMUA KUTULIA!
BY THE TIME UNATULIA,NDICHO KIPIND MWENZIO ANASEMA HII INATOSHA!

kiukweli HUWA MNATIA HURUMA SANA!
NA HAKIKA HUWA HAKUNA UNALOWEZA KUFANYA TENA!
HATUA HII HUWA HAIFIKI KIMASIKHARA!
Huwa hawaelewi, let them take us for granted.
 
Hahahah... Afu mm sielewag kwann wanaume wanapenda kugeuzia wenzao makosa
Kwasababu wanaume hatupend kukosolew bora kutukosoa kwa kurumia busara, tunauwezo ambao wakike hawana wa kubadir uongo kuw ukweli kwa kutetea uovu ivooo yaan
 
Haya mambo ukiwaza sana unaweza ishia kutokuoa..

Ndoa na iheshimiwe na Watu Wote, tuheshimu wake/waume za Watu. Tuwahurumie wenzi wao, tuepuke kutegana tegana ili kutoingizana majaribuni.

Mungu anisaidie nilishinde hilo pepo.
Wakati unaomba pia ukae mbali na mie teh nitakurubuni
 
sasa rafiki yangu JIULIZE MWENZIO ALIPOKUWA ANAKUFANYIA KILA KITU ,ABSOLUTE EVERYTHING!

manake nae aliacha kila kitu!
Unajua iko hivi!
wanaume huwa mnaamini huwa tunawaenzi na kuwapa milki kwa kuwa NI WAJIBU WETU!
nikikupa ufalme juu yangu,juu ya maisha yangu,juu ya mwili wangu,juu ya hisia zangu
NI KWA KUWA NIMEAMUA KUACHA YALIYO KINYUME NA HAYO!

so mi huwa nasema kila siku!
I even tell ur shemeji!
OGOPA SANA MWANAMKE ANAYEKUPENDA WAKATI HUSTAHILI UPENDO NA HESHIMA YAKE!(of cuz huistahili kutojana na matendo yako)
MWANAMKE WA AINA HIYO HANA NGUZO YEYOTE YZ KUKUPA NA KUKUFANYIA HAYO ZAIDI YA KUKUPENDA TU MASKIN!


siiiiiiiiku akiamua HIII INATOSHA!
bahati mbaaaya zaidi huwa kauli HII INATOSHA INATOKEA BAADA YA MUDA MREFU SANA!VERY LIKELY NDICHO KIPINDI HATA UMRI WAKO UMESOGEA NA AKILI YA KIMAJUKUMU YAKO IMEONGEZEKA !UNAAMUA KUTULIA!
BY THE TIME UNATULIA,NDICHO KIPIND MWENZIO ANASEMA HII INATOSHA!

kiukweli HUWA MNATIA HURUMA SANA!
NA HAKIKA HUWA HAKUNA UNALOWEZA KUFANYA TENA!
HATUA HII HUWA HAIFIKI KIMASIKHARA!
WORD!!!!
Afu ajabu muda unaompa ajirekebishe huku ukimuweka kwenye mstari fanya hivi usifanye hivi ANAISHIA KUNUNA
 
Nguruwe pita sina mkuki mie. Nadhani wengi wanatoa ushauri tu. Nadhani huyo mwenzio toka mwanzoni alikuwa na wazo la kumbwato mje sasa anasingizia kibamia huyu atakuwa anathema big G kwa utamu wa Katanga za kuonjeshwa. Alitakiwa kukaa na kukabiliana na tatizo. Sidhani kama kuna mwanaume ashakuja kuja hapa na hoja kama hiyo halafu aseme maku ya gf wake ni kama ziwa Victoria.
mbona wanatusema sana? Wewe umejiunga lini jf?

Btw kuwa kama ziwa victoria kwani ni tatizo? Kama nitatizo mbona wengine wanashinda kwa waganga?
 
snowhite nakuelewa sana sana Ujue!

Yaani hii hali ni two way sema sisi tunajiongopea nadhani hii hali msingi wake ni jamii iliyotuzunguka lakini hata vitabu vya imani zetu vime site cases kadhaa za wanaume kutoka nje ya mahusiano yao Mfalme Daudi anaweza kuwa Mfano, sasa imejengeka nafsini mwetu na kwenye jamii tunamoishi.

Kwamba ni KAWAIDA KWA WANAUME KUCHEPUKA alafu ni ajabu na fedheha kwa mwanamke kufanya hivyo.

Sio siri kupitia humu napata elimu ngumu kumesa namna ya kuendelea kuwa mume bora na mwaminifu kwa mwezi wangu.

Hizi story zisikie kwa jirani tu uwe mke au mume omba yasikukute aseeee ooh!
 
Back
Top Bottom