Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Dah... Jamani yasikieni tu MAHABA NIPOTEZE KAMA NDEGE YA MALAYSIA...

Unazungumzia kuchangia mswaki mbona hiyo simple, niliwahi kudate na mkaka mmoja Mtanga wee tulikuwa tunatafuniana nyama mpaka inakuwa laini kisha tunalishana kwa mdomo!!!

Khaaaa... Sitamani hata kukumbuka make baada ya kuachana ndio nikapatwa na kinyaa!!!

Ukiwa kwenye mahuciaano...unakuwa kichaa.....punguza
 
Kwanini mchangie mswaki,unajua kinywa ni sehemu ya pekee chenye vijidudu vingi kuliko sehemu yoyote nyingine.....Mswaki kila mtu awe na wake,na ikitokea mmetumia mmoja basi kulikuwa hakuna option nyingine.....
so wewe haupigi denda..,???,coz nayo inakuwa excreted kinywani...,
 
kupiga mic mbona naweza nikakesha hapo mkuu.. Chezeya utamu wewe!!

Hahahahah!
images
images
 
bora kuchangia mswaki/pichu unavyoviona kuliko kuchangia michepuko usiyojua kama wanatumia kavu kavu...KULOWESHA
 
Kusema mchangie mswaki ni kama unasema mchangie toilet paper aliyoshatumia...
Mapenzi gani tunachangia mswaki, imekua taulo hiyo, hata ulivosema kwenye nguo za ndani, mwanaume atupie bikini, si kichekesho hicho...
 
yani wewe uko kama mimi lolz
..mbaya zaidi mpenzi wangu yeye anaona kushare ni sawa tu, tena huwa anahisi namtenga/nambagua au simwamini. Nilichofanya nahakikisha mswaki wangu haupo ulipo wa kwake ..kwi kwiiiiiii

Wewe mbinafsi .

Kama mic unacheza nayo sheli unaigia itakuwaje ushindwe kuchangia mswaki? nikitu gani kilicho kibaya hapo!
 
Kusema mchangie mswaki ni kama unasema mchangie toilet paper aliyoshatumia...
Mapenzi gani tunachangia mswaki, imekua taulo hiyo, hata ulivosema kwenye nguo za ndani, mwanaume atupie bikini, si kichekesho hicho...

Hivi kama wapenzi wanachangia mashine ya kunyolea mazivu, itakuwaje mswaki inamaana kinachoogopeka ni maradhi au ni kitu gani?
 
Wewe mbinafsi .

Kama mic unacheza nayo sheli unaigia itakuwaje ushindwe kuchangia mswaki? nikitu gani kilicho kibaya hapo!

Hakuna ubinafsi hapo mkuu. Mswaki ni kisafishio ..kinabeba uchafu kibao. Tukutane kwenye dend. na mengineyo ila hapo mie ndukiiii.

By the way .. Vyote havishauriwi kiafya. But mapenzi tu ndio yanatukimbiza, na uzuri hivyo vingine wafanya ukiwa katika dimbwi zito la mapenzi; but mswaki unapiga ukiwa Soba ..kwi kwiiiiiiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom