Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Ni kweli usemacho, ukiwa msafu mdomoni mwako hata ukiamka mdomo hautoi harufu...

Twin Khantwe, fanya majaribio haya. Ukimaliza kula chakula cha usiku piga mswaki vizuri na asubuhi ukiamka kunywa maji. Hutohisi harufu mbaya kinywani!!

Huwa nafanya hivyo twin....kwa hyo kabla ya morning glory unainuka kwanza kunywa maji?
 
Last edited by a moderator:
...:::Mapenzi Yakinoga:::....

Jamani usiombe mapenzi yakakunogea utatamani ugandane na mpenzi wako kila mahala.

Katika kona kona za mapenzi mapenzi leo nimekuta na hii kitu;

Mara nyingi watu wanapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi huwa wanaaminiana kupita kiasi hata kama hawakuwahi kuchunguza afya zao.

Hali hii hupelekea wapenzi kuchangia vitu mbali mbali kama nyembe, mswaki,mkasi hata wengine hufikia hatua ya kuchangia pichuu! "ukivaa BOXER yangu na vaa KIBINI yako"

Hapa leo nitahitaji tuongelea kitu kimoja;

Mswaki,hivi ni sahihi wapenzi kuchangia mswaki?

Na kiafya iko vipi, hakuna magojwa yoyote yanayoweka kutokea kwa kuchangia mswaki?

Au matumaini yetu yako juu ya zile dawa za meno.!

Hapo hauitaji kuchangia nguo, chupi, bikini nk kwani magonjwa ya ngozi nayo yanasumbua kuna watu wanaishi na fang asi akikuambukiza wewe lazima utapata tabu
 
Kama mnaaminiana sioni mbaya, nishapokonywa mswaki na kabinti enzi nasoma naye akautia mdomoni na kuendelea kuswaki. It was so fun, ngoja nimtafute kwa kuwa hii thread imenikumbusha.
 
Kama mnaaminiana sioni mbaya, nishapokonywa mswaki na kabinti enzi nasoma naye akautia mdomoni na kuendelea kuswaki. It was so fun, ngoja nimtafute kwa kuwa hii thread imenikumbusha.

Teh!teh! halafu umlete hapa anishukuru kwa kuanzisha thread iliyofanya umkumbuke, baada ya kumpotezea kwa muda mrefu.!
 
Hapo hauitaji kuchangia nguo, chupi, bikini nk kwani magonjwa ya ngozi nayo yanasumbua kuna watu wanaishi na fang asi akikuambukiza wewe lazima utapata tabu

Utashangaa leo hapa watu wanakuambia hivyo vyote watachangia kasoro mswaki tu!
 
Huwa nafanya hivyo twin....kwa hyo kabla ya morning glory unainuka kwanza kunywa maji?

Sio hivo bali ukizoea kufanya hivyo mdomo wako hutokuwa na harufu, na hata wa mwenzi wako! Hapo ndipo mnaweza kudendeka asubuhi
 
Sio hivo bali ukizoea kufanya hivyo mdomo wako hutokuwa na harufu, na hata wa mwenzi wako! Hapo ndipo mnaweza kudendeka asubuhi

Ngoja nijizoeshe nikimpata shemeji yako niwe nimezoea teh teh
 
Samahani mkuu, hivi kuna wanaoamka na kupiga mswaki afu wanarudi kupata "Morning Glory" au huwa wanapata "Morning Glory" kibubububu??? :becky: :becky:

Hapo inabidi kusitisha zoezi la denda yaendelee mengine sababu maandalizi sio denda tu, bora kibubububu

Ha ha haaaaaaaa.


Nimechekaje. Kibubububu lkn huwa inanoga kuliko hata kusema mtoke mkswaki kwanza.
 
He!kwani tatzo nn?kama unaweza kla mimate nakuimeza utashindwaje kutumia mswaki?
 
Hivi kuna watu wanachangia mswaki?...mm nachangia kitanda,mashuka,taulo,labda nayeye kuvaa tshet zangu na vitana

Mimi hata taulo inategemea na huyo binti yukoje aisee sembuse mswaki!!!!
 
Nilipigwa na butwaa/nilipagawa sababu sikutegemea kitu kama hicho, kwa kweli nilistuka nikaona natekenywa ila nikamuacha aendelee hadi alipomaliza yeye alichokuwa anakifanya, ila kusema ukweli mimi sijahisi chochote zaidi ya mstuko na kubaki na mshangao wa hali ya juu sababu haijawahi tokea mambo ya hivyo katika utundu wangu wote.

Halafu sio kuwa tulikuwa tunagegedana au tulikuwa tunataka kugegedana hapana nilikuwa nimejikalia tu sina hili wala lile na hata yeye baada ya kumaliza tukawa tunapiga stori.

Kawaida tu hamna lolote

Huyo alitumwa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom