habari tanzania,
nauza samaki wa mapambo kwa bei nafuu sana
aina zangu ni
1.gold fish
ambao kuna salasa
kuna telescope
shubkin
na
redcape
bei zake kwa upande wa gold kuna 10000 kwa jike na dume na kuna wa elfu 20 jike na dume na pia wa elfu 30 kwa jike na dume
aina nyingine ni gulam
ambao ni elfu 20 kwa pea
kuna black more
elfu kumi kwa pea
gapi aina zote kwa elfu kumi kwa pair
red fish ni sh elfu kumi kwa pair
asante sana napatikana dar
nitakuletea popote ulipo ndani ya jiji la dar kama hutakosa mda wa kuja kuwaona
picha zaidi zinapatikana whats app kwa number hii 0712505049
Hiyo sumaku inatumika kunasa nini mkuu?
Mkuu nitake radhi, nakubali utafanya hayo yote kusaidia mate yasikauke mdomoni na pengine unaweza stuka usiku ukanywa tena maji lakini kuna uchachu asubuhi lazima utakuwepo ilimradi umelala/ulilala.Ukikua utaelewa.
ila kwa,kipindi hichi jijengee utamaduni wa kuswaki na kunywa maji kabla ya kulala. Ukiamka mdomo unakuwa haunuki kama choo cha bar.
Mimi na wewe hatuwezi gombana nimeshakuelewa thathaUkiwa hot kinyaa hutoweka, ila baada ya game lolest!!!
Thithemi....
Mkuu haujanijibu kama yule mtoto mkorofi alikuwa mtanga au?
Mhhhhh!!!!! Nitachangia vyote lakini si pichu au mswaki ewwwwwwww!!!!!! 😛uke:😛uke:
Ila kama una akaunti ya m-pesa endelea kuwepo tu.!
Ila denda sio kinyaa?
mswaki big NOOOOOO
nitautumia kwa bahati mbaya. Lakini nikiwa najua hapana.
Mrembo kunuka mdomo ni majangaMimi nikigundua ananuka kinywa hata denda hanipati. Ntakuwa nakwepesha mdomo kiustadi sana hahahahaha
Ila chumvini unazama kama kawa na denda unapiga?
Kuweni wakwale jamani koni mnalamba, sheri mnaingia kunywa lita mmmmhhhhh! sembuse kamswaki tu?
Ukikua utaelewa.
ila kwa,kipindi hichi jijengee utamaduni wa kuswaki na kunywa maji kabla ya kulala. Ukiamka mdomo unakuwa haunuki kama choo cha bar.
mswaki big NOOOOOO
nitautumia kwa bahati mbaya. Lakini nikiwa najua hapana.