Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,500
- 1,688
- Thread starter
- #161
Hakuna ubinafsi hapo mkuu. Mswaki ni kisafishio ..kinabeba uchafu kibao. Tukutane kwenye dend. na mengineyo ila hapo mie ndukiiii.
By the way .. Vyote havishauriwi kiafya. But mapenzi tu ndio yanatukimbiza, na uzuri hivyo vingine wafanya ukiwa katika dimbwi zito la mapenzi; but mswaki unapiga ukiwa Soba ..kwi kwiiiiiiiiii
Linapofikia swala la mswaki dimbwi la mapenzi linakauka kabisaaaa! ila kwenye maswala mengine aah, dibwi dinbwi dibwi la mapenzi! Watu wanazama mpaka kunako