Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Hapana Kwanza Mswaki Ukiunusa Tu Unatoa Harufu Ndo Ije Tena Yeye Aweke Domo Namim Niweke Siutakua Kama Mzoga Mzoga Au
Sio Kila Kitu Ni Chaku Share Vingne Una Chagua Tusidanganyane,

Hivi kazi ya mswaki ni nini?

Na kazi ya mdomo ni ipi?
 
Hilo ni jambo la kawida sana maana hata bible i9nasema kuwa mwanaume na mke wataungana kuwa mwili mmoja ama kitu kimoja. sasa kama mmekubali kuwa mwili mmoja itakuwaje msichangie mswaki??????????????????
 
Hivi kipi ni afadhali au uchafu zaidi?..ku share mswaki au kwenda chumvini na kunyonya dushelele??
 
avae bikini???? hahahaaaa hivi inapitaje pale mweee
 
Mswaki kawaida mana kama mnaweza mnashare mate, hakuna tofauti na kushare mswaki, tena raha sana kuchangia vitu na umpendaye.
 
Dah... Jamani yasikieni tu MAHABA NIPOTEZE KAMA NDEGE YA MALAYSIA...

Unazungumzia kuchangia mswaki mbona hiyo simple, niliwahi kudate na mkaka mmoja Mtanga wee tulikuwa tunatafuniana nyama mpaka inakuwa laini kisha tunalishana kwa mdomo!!!

Khaaaa... Sitamani hata kukumbuka make baada ya kuachana ndio nikapatwa na kinyaa!!!
duh hiyo experience balaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom