amkawewe
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,021
- 528
Can't imagine Bossman umetinga kikamba cha mkeo.....(perish the thought).
We Nyani acha fujo hizo
Can't imagine Bossman umetinga kikamba cha mkeo.....(perish the thought).
Samahani mkuu, hivi kuna wanaoamka na kupiga mswaki afu wanarudi kupata "Morning Glory" au huwa wanapata "Morning Glory" kibubububu??? :becky: :becky:
Mkuu habari ya wewe? kitambo hatujakutana!
Kwanini mchangie mswaki,unajua kinywa ni sehemu ya pekee chenye vijidudu vingi kuliko sehemu yoyote nyingine.....Mswaki kila mtu awe na wake,na ikitokea mmetumia mmoja basi kulikuwa hakuna option nyingine.....
Mi mwenyewe huwa najiuliza watu wanapigaje morning glory na ile hali duuh
mswaki hatari kwasababu wengi wana bleed kwenye gums....unaongeza risk ya kuambukizana magonjwa zaidi...Mswaki na denda ni kipi hatari zaidi? Manake unapozidi kudendeka ndo unazidi kuprodyuzi masalaiva.
Hamtaki kushea miswaki halafu mnapigana denda kila saa. Hiyo ni nini sasa? Kweli wanadamu ni wanafki aisee.
mswaki neh
Hapo inabidi kusitisha zoezi la denda yaendelee mengine sababu maandalizi sio denda tu, bora kibubububu
Dah... Jamani yasikieni tu MAHABA NIPOTEZE KAMA NDEGE YA MALAYSIA...
Unazungumzia kuchangia mswaki mbona hiyo simple, niliwahi kudate na mkaka mmoja Mtanga wee tulikuwa tunatafuniana nyama mpaka inakuwa laini kisha tunalishana kwa mdomo!!!
Khaaaa... Sitamani hata kukumbuka make baada ya kuachana ndio nikapatwa na kinyaa!!!
Acha denda. Wananyonyana nanihii!
Ukikua utaelewa.
ila kwa,kipindi hichi jijengee utamaduni wa kuswaki na kunywa maji kabla ya kulala. Ukiamka mdomo unakuwa haunuki kama choo cha bar.
Sema hakyamungu.
Mi mwenyewe huwa najiuliza watu wanapigaje morning glory na ile hali duuh