Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

nichangie mswaki tu from nowhere?

come on Price!
 
Last edited by a moderator:
Well, bila kuingia kwenye tafiti za kitaaluma nadhani mswaki unapata masaa ya kukauka baada ya kusuuzwa pia. Kwenye mapenzi ni muhimu kufanya ulipendalo. Hakina formulae
mswaki hatari kwasababu wengi wana bleed kwenye gums....unaongeza risk ya kuambukizana magonjwa zaidi...
 
Well, bila kuingia kwenye tafiti za kitaaluma nadhani mswaki unapata masaa ya kukauka baada ya kusuuzwa pia. Kwenye mapenzi ni muhimu kufanya ulipendalo. Hakina formulae
i thought ukisema ukishare maanake wewe una brush ukimaliza mwenzio ana brush kwahio mswaki haupati muda wakukauka....au?
 
Mapenzi ni lazima yawe na mipaka yake vijana.

Mzeee......shikamoo.

Enzi hizi sio kama kile kipindi chenu siku hivi vijana wanaingia mpaka chumvi kuchunguza madini chumvi.!
 
habari tanzania,

nauza samaki wa mapambo kwa bei nafuu sana

aina zangu ni


1.gold fish
ambao kuna salasa
kuna telescope
shubkin
na
redcape

bei zake kwa upande wa gold kuna 10000 kwa jike na dume na kuna wa elfu 20 jike na dume na pia wa elfu 30 kwa jike na dume

aina nyingine ni gulam
ambao ni elfu 20 kwa pea

kuna black more
elfu kumi kwa pea


gapi aina zote kwa elfu kumi kwa pair

red fish ni sh elfu kumi kwa pair


asante sana napatikana dar

nitakuletea popote ulipo ndani ya jiji la dar kama hutakosa mda wa kuja kuwaona

picha zaidi zinapatikana whats app kwa number hii 0712505049
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom