Kuch

Good thing nafuga kuku na Bata nyumbani kwangu
Nawafugia ndani ukiwachinja nyama tamu sana na laini, ila tatizo kuku wanaokulia Juani hali vizuri anakula funza lazima nyama yake iwe jiwe.
Mambo gani ya kutajiana funza, kwenye vitu muhimu boss utamaliza kuku wote tukikuachia..๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nyie ndio wale mnaomfanya Mama Samia aseme tupo vizuri kuliko USA na Ulaya...yani mboga yakueka kwenye freazer iliwe week 4 kwa kupokezana na Haragwe na Dagaa wewe unasafisha Day one ๐Ÿ•.
 
Mambo gani ya kutajiana funza, kwenye vitu muhimu boss utamaliza kuku wote tukikuachia..๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kuna raha ukiwafuga kuku mwenyewe, nyumbani hutakiwi kukosa mifugo

Nilishawah kula kuku nikawa napost everyday three month non stop, what a history

Maisha magumu ila kufurahi ni maamuzi yako mwenyewe
 
Karibu bila shaka
Kwenye zile harakati zako uliwahi kula zile nyama๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ maana juu unasema unakula na visivyo liwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ