Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Kuna muda ukitulia vizuri na kutafakari jambo kabla haujaandika haya yote utaishia kughairi kabisa. Najua unaposti kwakuwa una " time" au hata umetaka watu wabishanie hii mada yako.
Kama kweli umeitoa kwa akili zako timamu ,I swear kuna tatizo mahali, chuki zako binafsi unazimalizia kwenye paragraph ya mwisho ya maandishi yako.
Putin hajui Kiingereza, na nina uhakika hana hata muunganiko mzuri wa Sentensi za English, unamuona na yeye ni popoma kama jinsi ambavyo watu wenye IQ zakuototeza wanafanya?.
Ungesema mapema ya kwamba unamchukia Jiwe, mimi ningekubali kwakuwa ni mtazamo wako. Na hata kama ungetoa hoja zako zenye mashiko kuhusu utawala mbovu wa Jiwe ningepitia na kujua kama kulikuwa na sehemu ya kukubaliana na wewe ningekubali tu. Stop being silly, simama kama mwanaume tetea hoja zako kwa maandiko yenye mashiko. Jf should never be a damping site to store litter
Kujua kiingereza sio kipimo cha akili. It is only illogical of you to think being wise has anything to do with knowing the English Language.
Silenzio Bruno
Kama kweli umeitoa kwa akili zako timamu ,I swear kuna tatizo mahali, chuki zako binafsi unazimalizia kwenye paragraph ya mwisho ya maandishi yako.
Putin hajui Kiingereza, na nina uhakika hana hata muunganiko mzuri wa Sentensi za English, unamuona na yeye ni popoma kama jinsi ambavyo watu wenye IQ zakuototeza wanafanya?.
Ungesema mapema ya kwamba unamchukia Jiwe, mimi ningekubali kwakuwa ni mtazamo wako. Na hata kama ungetoa hoja zako zenye mashiko kuhusu utawala mbovu wa Jiwe ningepitia na kujua kama kulikuwa na sehemu ya kukubaliana na wewe ningekubali tu. Stop being silly, simama kama mwanaume tetea hoja zako kwa maandiko yenye mashiko. Jf should never be a damping site to store litter
Kujua kiingereza sio kipimo cha akili. It is only illogical of you to think being wise has anything to do with knowing the English Language.
Silenzio Bruno