Kubali ama kataa, ukweli ni kwamba kwa hapa Tanzania mtu asiyejua Kiingereza hajaelimika

Nioneshe mtanza aliesoma akaelimika na kujua kingereza vizuri ambaye:
1.Anakampuni kama Alibaba na facebook.
2.Anakampuni ya kuunda injini za pikipiki kama fecon, San lg
3.Anakampuni ya kutengeneza vyombo vya nyumbani.
4.Ana kampuni ya kubadili pamba kuwa vitambaa.
5.Anakampuni ya kuzslisha kemikali mbalimbali.
6.Anakampuni ya kuzalisha vitabu na kuuzwa duniani kama pearson comp, Cambridge printing nk.
Hapo nimekutajia vitu vyepesi vyepesi vinavyohitaji elimu ndogo bado vile vizito kama Space station nk.
Ukunitajia Mtanzania mmoja basi nitakuunga mkoni kuwa TZ kuna watu wameelimika kutokana na kiingereza vinginevyo unatupotezea muda bure.
Watanzania wamehudhiria shule ila hawajaelimika, uthibitisho ni hizo point sita hapo juu, atakae weza kuzijibu basi ntamuunga mkono kuwa TZ wameelimika na kingereza ni jawabu la elimu.
Wapo wengi mkuu Wana makampuni ya
- kusaga na kuuza nafaka
-kusindika matunda
-kusindika asali
--kusindika mafuta ya alizeti na mawese
-kutengeneza Pedi, n.k
 
Nioneshe mtanza aliesoma akaelimika na kujua kingereza vizuri ambaye:
1.Anakampuni kama Alibaba na facebook.
2.Anakampuni ya kuunda injini za pikipiki kama fecon, San lg
3.Anakampuni ya kutengeneza vyombo vya nyumbani.
4.Ana kampuni ya kubadili pamba kuwa vitambaa.
5.Anakampuni ya kuzslisha kemikali mbalimbali.
6.Anakampuni ya kuzalisha vitabu na kuuzwa duniani kama pearson comp, Cambridge printing nk.
Hapo nimekutajia vitu vyepesi vyepesi vinavyohitaji elimu ndogo bado vile vizito kama Space station nk.
Ukunitajia Mtanzania mmoja basi nitakuunga mkoni kuwa TZ kuna watu wameelimika kutokana na kiingereza vinginevyo unatupotezea muda bure.
Watanzania wamehudhiria shule ila hawajaelimika, uthibitisho ni hizo point sita hapo juu, atakae weza kuzijibu basi ntamuunga mkono kuwa TZ wameelimika na kingereza ni jawabu la elimu.
Tangawizi uranium cooperate!! TUCO. Musoma mitaa ya kamunyonge!
 
FROM NOW ON WARDS WRITE IN ENGLISH!! THOUGH I KNOW THERE ARE MANY DWELLERS WHO DON'T KNOW SWAHILI!!!!

QUICKLY RUSH TO ENGLISH FORUM P/EASE!
Nilijikuna kisogo, kisha nikapitisha kidole kwenye pachupachu za uke wa binti mrembo. Akaguna guna na kuonesha shybaku imemfikisha mahala pake.
TAFSIRI KWA KINGEREZA cha necta.
 
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuelimika na kujua kiingereza hapa nchini kwetu. Kwasabb lugha yetu ya kufundishia ni kiingereza.

Hivyo ili mtu aweze kuipata elimu kwa kiwango kikubwa lazima aifahamu vema lugha ya kiingereza maana ndiyo iliyobeba taarifa zote zinazotakiwa na mwanafunzi. Kama mwanafunzi atakuwa hajui kiingereza ni dhahiri.kwamba kuna kitu atakikosa.

Wachina, wajapani na warusi wanatumia lugha zao kufundishia ndiyo maana wao kiingereza hakina umuhimu kwenye kuelimika.

Baba wa taifa JK alikifahamu vema kiingereza ndiyo maana aliweza kukitumia kupigania Uhuru wa nchi yetu bila bunduki. Alikuwa na ushawishi kwa wazungu.

Jiwe ndiye aliyekuwa na uelewa mdogo kuliko marais wote waliopita ktk taifa hili. Hakuna alichokuwa anakifahamu zaidi ya ubabe. Maana kwenye maisha yake alichojifunza na kukielewa vema ni ubabe wa kuswaga ng'ombe.

傻逼
 
Wapo wengi mkuu Wana makampuni ya
- kusaga na kuuza nafaka
-kusindika matunda
-kusindika asali
--kusindika mafuta ya alizeti na mawese
-kutengeneza Pedi, n.k
Ndio hayo sita nilio orodhesha ? basi utakuwa mgonjwa wewe.
 
Nilijikuna kisogo, kisha nikapitisha kidole kwenye pachupachu za uke wa binti mrembo. Akaguna guna na kuonesha shybaku imemfikisha mahala pake.
TAFSIRI KWA KINGEREZA cha necta.
Hey! nigga from da Bush hoo! much u gonna pay me fo4 dis primitive nasty job jargon am gonna do????!
 
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuelimika na kujua kiingereza hapa nchini kwetu. Kwasabb lugha yetu ya kufundishia ni kiingereza.

Hivyo ili mtu aweze kuipata elimu kwa kiwango kikubwa lazima aifahamu vema lugha ya kiingereza maana ndiyo iliyobeba taarifa zote zinazotakiwa na mwanafunzi. Kama mwanafunzi atakuwa hajui kiingereza ni dhahiri.kwamba kuna kitu atakikosa.

Wachina, wajapani na warusi wanatumia lugha zao kufundishia ndiyo maana wao kiingereza hakina umuhimu kwenye kuelimika.

Baba wa taifa JK alikifahamu vema kiingereza ndiyo maana aliweza kukitumia kupigania Uhuru wa nchi yetu bila bunduki. Alikuwa na ushawishi kwa wazungu.

Jiwe ndiye aliyekuwa na uelewa mdogo kuliko marais wote waliopita ktk taifa hili. Hakuna alichokuwa anakifahamu zaidi ya ubabe. Maana kwenye maisha yake alichojifunza na kukielewa vema ni ubabe wa kuswaga ng'ombe.
Hujui maana ya kuelimika
 
Watanzania wengi wamesoma hadi form four lakini Kingereza za mawasiliano hawakijui hasa waliosoma shule za serikali ni majanga. Wachache sana wanakijua hasa wale waliosoma English medium na private schools.

Kwahiyo kwa mada yako hii jiandae kupingwa kwa nguvu zote! But ukweli usemwe, huwezi kuelewa content kwa kiwango kizuri halafu lugha inayotumika kukupa hiyo content huijui vizuri, haya ni maajabu yanayopatikana Tanzania tu.
 
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kuelimika na kujua kiingereza hapa nchini kwetu. Kwasabb lugha yetu ya kufundishia ni kiingereza.

Hivyo ili mtu aweze kuipata elimu kwa kiwango kikubwa lazima aifahamu vema lugha ya kiingereza maana ndiyo iliyobeba taarifa zote zinazotakiwa na mwanafunzi. Kama mwanafunzi atakuwa hajui kiingereza ni dhahiri.kwamba kuna kitu atakikosa.

Wachina, wajapani na warusi wanatumia lugha zao kufundishia ndiyo maana wao kiingereza hakina umuhimu kwenye kuelimika.

Baba wa taifa JK alikifahamu vema kiingereza ndiyo maana aliweza kukitumia kupigania Uhuru wa nchi yetu bila bunduki. Alikuwa na ushawishi kwa wazungu.

Jiwe ndiye aliyekuwa na uelewa mdogo kuliko marais wote waliopita ktk taifa hili. Hakuna alichokuwa anakifahamu zaidi ya ubabe. Maana kwenye maisha yake alichojifunza na kukielewa vema ni ubabe wa kuswaga ng'ombe.
Acha kuwadanganya watu wewe, aliwezaje kukariri zile kilometa na miji yote ya Tanzania hii. Bora ukalale tu. Hauna uelewa wowote. Kuna watu wanajua hesabu na kiingereza hawakijui.
 
Nilijikuna kisogo, kisha nikapitisha kidole kwenye pachupachu za uke wa binti mrembo. Akaguna guna na kuonesha shybaku imemfikisha mahala pake.
TAFSIRI KWA KINGEREZA cha necta.
I scratched my nape, then penetrated a finger to the vulva of female genitalia of a cute girl. She groaned in a flaunting manner indicating climax of pleasure.
 
Watanzania wengi wamesoma hadi form four lakini Kingereza za mawasiliano hawakijui hasa waliosoma shule za serikali ni majanga. Wachache sana wanakijua hasa wale waliosoma English medium na private schools.

Kwahiyo kwa mada yako hii jiandae kupingwa kwa nguvu zote! But ukweli usemwe, huwezi kuelewa content kwa kiwango kizuri halafu lugha inayotumika kukupa hiyo content huijui vizuri, haya ni maajabu yanayopatikana Tanzania tu.
Asante sana mkuu kwa kuujua ukweli na kunitia moyo.
 
Thank you for the chance;

I am really appreciate being here...
 
Mleta mada bado anamiss kupakuliwa na jiwe!

Bila shaka ndio aliekutanua hii kitu
Screenshot_20211116-153331.jpg


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom