Mkuu jigili, use your common sense..
Mimi nina gari lakini ni mtu mmoja tuu kati ya marafiki zangu naweza kumpa gari langu japo nina marafiki wengi.
Sababu za msingi ni kama ifuatavyo;
- Hata kama ni rafiki yako, usimpe gari, badala yake kama unaweza na una nafasi, mpeleke mwenyewe. Unapoendesha gari lako unajua how to take care.
- Hebu fikiria una rafiki unampa gari. Inatokea inapata ajali alafu mtu mwenyewe hana hata hela ya matengenezo unapigiwa simu gari iko mtaroni utafanyaje? kumdai huwezi, ukimwacha roho itakuuma.
gari anaazima hadi ridhiwani kikwete sembuse wewe mlalahoi? au hamkusikia ridhiwani akisema msione anabadilisha magari tu hayo ni mambo ya kimjinimjini tu, yeye anamiliki toyota Camry moja tu.
wazungu walishapita kote huku ambako sisi leo mishipa ya shingo inatutoka na ndio maana walibuni rent car self driving, ili kuondokana na kumtukuza mtu kwa sababu ya makopo haya.
Mkopo wa gari hata Sijaumaliza,halafu nikuazime ukatongozee wazaramo!!akyanani haiwezekani nakataa kabisa
Niazime gari wiki ijayo nina harusi...
Jiandae kupelekwa
Teh teh! Gari sio MATA..ko Kila mtu anayo, tunajua hupendi unavyopangwa na kukanyagwa kwenye ma DCM,ni Ukapuku 2 utafanyaje? tunajua na wewe unatamani kumiliki kopo la 50m teh! teh! teh!gari anaazima hadi ridhiwani kikwete sembuse wewe mlalahoi? au hamkusikia ridhiwani akisema msione anabadilisha magari tu hayo ni mambo ya kimjinimjini tu, yeye anamiliki toyota Camry moja tu.
wazungu walishapita kote huku ambako sisi leo mishipa ya shingo inatutoka na ndio maana walibuni rent car self driving, ili kuondokana na kumtukuza mtu kwa sababu ya makopo haya.
kama hamjazoeana siyo ustaarabu.Na hata waliozoeanaKuna jirani yangu amekuja leo kwangu anaazima gari awapeleke jamaa zake kutoka sehemu moja kwenda nyingine.Jirani mwenyewe japo namfahamu kwa sura lakini hata jina lake silifahamu kwa sababu si miongoni mwa majirani ambao tuna ukaribu sana.Swali likanijia huyu bwana anafunga safari kuja kuazima gari kama fyekeo hivi akipata nalo ajali atakuja na maelezo gani?
Lazima tujifunze kuishi kwa kile mwenyezi Mungu alichotukadiria
... jirani yako ana socialist mentality. In a capitalist society you have to think twice.
Kuna jirani yangu amekuja leo kwangu anaazima gari awapeleke jamaa zake kutoka sehemu moja kwenda nyingine.Jirani mwenyewe japo namfahamu kwa sura lakini hata jina lake silifahamu kwa sababu si miongoni mwa majirani ambao tuna ukaribu sana.Swali likanijia huyu bwana anafunga safari kuja kuazima gari kama fyekeo hivi akipata nalo ajali atakuja na maelezo gani?
Lazima tujifunze kuishi kwa kile mwenyezi Mungu alichotukadiria
Hii nimesikia leo! Naomba ambao hawajaoa wasiige hii.Mke/mme ni zaidi ya gari.Gari yako ni kama Mke/Mume wako , kama huwezi kumuazima mtu Mkeo usimuazime mtu gari yako.
Uchumi wako ni wa kiwango fulani, ndiyo maana huoni tabu kumwazima fyekeo. Uchumi wako ungekuwa wa kiwango fulani kingine usingeona tabu kumwazima gari. Nakublina nawe kwamba jamaa anakosea kujaribu kwenda kinyume na hali zenu za uchumi.
Hii nimesikia leo! Naomba ambao hawajaoa wasiige hii.Mke/mme ni zaidi ya gari.
Gari likikusumbua unauza,mke/mme?
Jamaa yangu aliniazima gari wakati naenda kuoa toka Dar kwenda mkoani, Landcruiser Prado, akaniwekea na mafuta full tank na gari nilikaa nayo wiki nzima ndio nikamrudishia. Tena ilikuwa ndio gari yake ya thamani kuliko nyingine na wakati nimesafiri akawa anashea na mkewe gari kwenda kazini. Inategemea mnahusiana vipi na uwezo wako kiuchumi. Una kagari kamoja, tena ka mkopo then unamuazima "mtu baki" hata Mimi nisingetoa.
Hii nimesikia leo! Naomba ambao hawajaoa wasiige hii.Mke/mme ni zaidi ya gari.
Gari likikusumbua unauza,mke/mme?
Sasa hiyo personal issue ya jirani yako kutaka kukuazima gari, nayo unaileta humu janvini?Kuna jirani yangu amekuja leo kwangu anaazima gari awapeleke jamaa zake kutoka sehemu moja kwenda nyingine.Jirani mwenyewe japo namfahamu kwa sura lakini hata jina lake silifahamu kwa sababu si miongoni mwa majirani ambao tuna ukaribu sana.Swali likanijia huyu bwana anafunga safari kuja kuazima gari kama fyekeo hivi akipata nalo ajali atakuja na maelezo gani?
Lazima tujifunze kuishi kwa kile mwenyezi Mungu alichotukadiria