Kuanzia sasa sitatazama ITV

Kuanzia sasa sitatazama ITV

wakati unaanza kuangalia mbona hukututarifu!.
kwenye kuacha ndiyo umeona kuna umuhimu.

anyway mimi nilikuwa cjui kama huwa unaangalia ITV.
 
Wewe ndio mbaguzi kwani ACT lazima irushwe kwenye taarifa ya habar ITV?? ulkiona huvyo mlikua hamna jipya kwenye mkutano
 
Ahahahaaa actiii mmechanga karata vibaya nyie,mlitegemea majina yenu ya wahindi wa uswisi yangetake over kwenye media ila imebumaaaaa, viva ukawa
 
Za ccm zenyewe zinapewa promo za lowasaa.
Lakini ulichosema naona kama kuna kaukweli fulani vile.................

Ni nadra sana kuziona habari za watia nia wengine wa CCM, hususani habari za watu kama akina Makongoro Nyerere, Jaji Augustino Ramadhani na Profesa Muhongo.
 
ITV-Independent television ni chombo binafsi kinaendeshwa kibiashara hivyo usiwapangie cha kuonesha ungekuwa na haki km ungewalaumu TBC maana ndo wanatumia kodi yako kujiendesha siku nyingine ujue kutofautisha kati ya private service vs public service
 
Dotto C. Rangimoto

Kwa nini unaingiza ukanda na ukabila? Kwani ACT ni chama cha kanda ipi? Kwanini usipanue mawazo yako na kuamini kwamba ITV ni chombo kinachowakilisha na kutetea walionacho dhidi ya wasionacho?Kwanini huoni vita vya matabaka? Umenishangaza sana.
 
Last edited by a moderator:
Sasa unataka warushe habari gani?kila siku wanaonyesha habari za wenza wenu ccm,huoni inatosha.angalia channel yenu ya Tbccm
 
Changishaneni mfungue vituo vyenu kila wilaya.!
 
Dotto C. Rangimoto

Sasa mlizunguka nchi nzima mkapata watu 700 tu waliochukua kadi za ACT halafu unadai unaonewa kutopewa airtime? Ile ni biashara na nyie ACT siyo bibi zake mengi kiasi kwamba aingie hasara ya little to no viewers kwa ajili yenu. pia, hamna mashiko kwa watazamaji, labda kama mtatuahidi kuwa tukiangalia mikutano yenu zitto atazomewa tena!
 
Last edited by a moderator:
Zitto angetaja majina ya uswiss pale mwembe yanga lazima itv wangeirusha hiyo habari.
 
Last edited by a moderator:
ACT mnasafari ndefu sana. Sasa ITV itarushaje habari za wehu, wanafiq, wasaliti wa wananch na matapeli? Yani Itv itangaze na yenyewe majina ya kuchonga ya Zitto ya kina KANJIBHAI?Rangi moto kuwa na adabu Mengi ana umri wa babako.
 
Huyu atakuwa ni wa Kigoma maana wanajidanganya eti wanmuunga mkono mwami, sisi kwetu mwami ni baba wa familia kwahiyo anakuwa na mke na watoto kwa hiyo nani ni naniiiiii?.
 
Mbona mikutano ya CCM wanaoneshaa...!!
Sasa mnataka wote muoneshwee?? Mzazi akioneshwa ni sawa na kuwakisha familia nzima.
 
Dotto C. Rangimoto

yaani kisa hbr za act? acha mie kwangu ndo tv no 1, nikitoka nahamia startv. we dumisha tbc1 tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom