Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,093
- 2,121
Anastahili pongezi huwa anaandika ukweli japo huwa mchungu kwa walio wengi
hakika!Anastahili heshima ingawa hawa ndio wanaofatwa sana na jiwe
Pascal Mayalla is too big,too clever,too wise,too brave and too intelligent kuwa RC/MP/Waziri.
Jamaa ni think tank.Watu kama huyu Pascal na akina tindo,nguruvi3,JokaKuu,shige ni watu wanaotakiwa wawe "nyutro",yaani wasiwe affiliated na chama chochote cha siasa na wala wasiwe kwenye system. Mtu kama Pascal anatakiwa awe ni mwandishi wa makala mbalimbali kwa wingi katika nyanja tofauti tofauti huku akishauri mara nyingi zaidi nini kifanyike,na amini serikali inamsoma zaidi Pascal na kufuata ushauri na mapendekezo yake mengi kimya kimya.
Ni mtu wa kitengoPaskali kweli ni mtu mwenye maono hasa kwa kuangalia nyingi ya post zake. Hilo la yeye kuwa mtu wa kitengo pia linaweza kuwa na ukweli ndani yake.
La zaidi ninalompendea ni hii tabia yake ya kuitangaza jf kila anapopata fursa. Kwa hili nampongeza sana.
Hata yeye ni wa kijitonyamaBaba yake Mzazi alikuwa wa 'kijitonyama
Hata kama ni PASKALI katika ID nyingine, BADO KILICHOSEMWA NA HIYO ID NI CHA UKWELI... na ushahidi umewekwapascal katika id nyingine,haya tutakukumbuka katika teuzi mbalimbali
Nimefurahi kwa kufanyia kazi issue ya kuweka nyuzi husika kama rejea.....nilikuwa nakula weekend sasa nitapita tena kupata madini ya PascalIngependeza ungekuwa unapachika na hizo nyuzi kama rejea
Link tafadhali mkuu nami nijielimishe.Alinikosha na ule uzi wa phyisical power mpaka leo nikiona uziwake sipiti buree