Kuagiza gari kutoka UK vs South Africa, Japa & Singapore

businesslink

Senior Member
Mar 20, 2019
129
113
Habari za leo waungwana.

Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko

Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo

SOUTH AFRICA:
Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...

Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:
  1. Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
  2. Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
  3. Hakuna longo longo kubadãilisha plate
  4. Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
  5. Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa

JAPAN & SINGAPORE:
Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.

UK:
Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?

Naomba nifafanuliwe based on:
  1. Ubora na Usalama
  2. Gharama za kuitunza
  3. Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
  4. Ushuru

Ahsanteni sana waungwana
 
Japan ni bora maana litafanyiwa inspection hukohuko, hizo nchi nyingine labda uagize kwa mtu unaye mwamini sana.
 
Habari za leo waungwana.


Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko

Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo

SOUTH AFRICA:

Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...

Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:

  1. Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
  2. Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
  3. Hakuna longo longo kubadãilisha plate
  4. Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
  5. Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa

JAPAN & SINGAPORE:

Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.

UK:

Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?


Naomba nifafanuliwe based on:

  1. Ubora na Usalama
  2. Gharama za kuitunza
  3. Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
  4. Ushuru

Ahsanteni sana waungwana

agiza JAPAN

Narudia tena agiza JAPAN

South Africa unahitaji mwenyeji au uende mwenyewe

Japana mifumo ya iko very secured,site zote unaeza agiza mwenyewe bila agent na ukafanikiwa tu

Ubora wa gari hapo inategemea na uchaguzi wako asikwambie mtu,ila SBT hapa ntawapa maua yao

Gari inakuja kama mpya,imepigwa service kila kitu
 
agiza JAPAN

Narudia tena agiza JAPAN

South Africa unahitaji mwenyeji au uende mwenyewe

Japana mifumo ya iko very secured,site zote unaeza agiza mwenyewe bila agent na ukafanikiwa tu

Ubora wa gari hapo inategemea na uchaguzi wako asikwambie mtu,ila SBT hapa ntawapa maua yao

Gari inakuja kama mpya,imepigwa service kila kitu
sawa nimekupata lakini nilitaka more detailed analysis
 
Habari za leo waungwana.

Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko

Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo

SOUTH AFRICA:
Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...

Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:
  1. Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
  2. Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
  3. Hakuna longo longo kubadãilisha plate
  4. Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
  5. Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa

JAPAN & SINGAPORE:
Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.

UK:
Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?

Naomba nifafanuliwe based on:
  1. Ubora na Usalama
  2. Gharama za kuitunza
  3. Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
  4. Ushuru

Ahsanteni sana waungwana
SA wana assemble magari mengi sana aina tofauti, SA unaweza pigwa za uso maana kuna magari yao ambapo unaweza pata shida kwenye vipulu, (spare) na hayo ya japan wanayo mengi
 
Habari za leo waungwana.

Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko

Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au spares) ushusu na gharama za matunzo

SOUTH AFRICA:
Sijajua kuna siri gani ya haya magari kutoka South Africa lakini sijapata kuona gari yenye namba plate za SA hapa mjini ambayo imechoka au iko kuu kuu...iwe Ford, Toyota Fortuner, Land Rover Discovery au BMW...unaona kabisa gari kama vile imetoka kiwandani....na mara nyingi ambazo nation zina namba plates za jimbo la GAUTENG...

Kila ninapouliza Why South Africa and not UK sipewi majibu yaliyonyooka kwani kila mmoja amekuja na theory yake lakini kwa kifupi wao husema:
  1. Mengi ni magari ya kupigwa hivyo ni cheap
  2. Wepesi wa kuingiza Tanzania kutoka SA. Minimum wiki moja gari ishaingia
  3. Hakuna longo longo kubadãilisha plate
  4. Ushuru ni mdogo kwa sabot country of origin ni SADC
  5. Ubora wa gari ni mzuri Kwani yametengenezwa kwa ajili ya ya terrain ya Africa

JAPAN & SINGAPORE:
Magari ya kutoka huko niyaonayo mengi naona yamepigwa sop sop lakini sio kama ya SA lakini naona ndio yanayoonekana ni affordable kwa mwananchi mengi hapa wenye kipato cha juu na chini na lakini pia nimeona yaliyppata ajali ni kama vile Yai kwa jinsi yanavyobondeka na survival rate kwa ajali nilizoona ni ndogo sana.

UK:
Sijaona mengi ambayo yanayo shine na kuonekana mapya kama ya SA lakini huwa najiuliza hivi Mzungu anaweza kutengeza gari sub standard (ubora na usalama) kwa jili ya soko la UK au Ulaya na kisha akatengeneza gari bora zaidi kwa ajili ya soko la Africa kwa sababu mazingira na bara bara mbovu za Africa?

Naomba nifafanuliwe based on:
  1. Ubora na Usalama
  2. Gharama za kuitunza
  3. Bei (kutokana na Sababu hizo hapo juu)
  4. Ushuru

Ahsanteni sana waungwana
Gari za SA zimesimama kuliko UK na Japan
 
Si kweli Isanga family anafanya hizi biashara miaka na miaka
Ukitaka ujue Watanzania ni watu wa kukatisha tamaa waulize kitu cha mafanikio kwako...magari yapo SA na bei nzuri wengi wamenunua na wanashangaa mimi nawapa njia si lazima nipate kupitia kwenu nina biashara zangu nafanya wapo wengi humu wamepata magari kupitia kwangu napokua SA na vitu vingine...magari SA ni mengi wauzaji ni CAR dealers hao Wanigeria unakutana nao wapi wao wapo busy na biashara zao..
 
Mkuu nasikia Singapore ni majanga

 
Mkuu nasikia Singapore ni majanga

uzi juu ya uzi
 
Naamini magari ya SA ni mazuri hasa gari kubwa, tatizo hamna mfumo mzuri wa uagizaji uliopo wazi na kuaminika zinakuwa ni baishara za kubahatisha kupigwa nje nje au kuuziwa gari ya wizi.
 
Naamini magari ya SA ni mazuri hasa gari kubwa, tatizo hamna mfumo mzuri wa uagizaji uliopo wazi na kuaminika zinakuwa ni baishara za kubahatisha kupigwa nje nje au kuuziwa gari ya wizi.
Unapigwaje wakati unanunua from an established dealership na unaweza ku track every info ambazo niko available online
 
Back
Top Bottom