ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,045
- 6,298
Kupitia uzi huu nitakuwa napost magari ya aina tofauti yanayopatikana South Africa na bei zake. Kama ikitokea mtu yuko interested tutawasiliana ili kujua jinsi ya kukuwezesha kununua gari uitakayo.
Nitakua na post gari ambazo zipo kwa dealerships pamoja na ambazo zinauzwa na watu binafsi kwa maelezo yaliyokamilika kabisa. Karibuni kwa maoni,maswali na manunuzi.
Kama unahitaji spare parts au bidhaa za aina yoyote kutoka South Africa karibu inbox kwa mawasiliano zaidi .
Leo tunaanza na bus,
Marcopolo Paradiso 1200,
Mercedes Benz luxury bus,
Rear engine,
Year 2010,
Bei ni milioni 110 tu .
Unawasha na kuondoka.
Nitakua na post gari ambazo zipo kwa dealerships pamoja na ambazo zinauzwa na watu binafsi kwa maelezo yaliyokamilika kabisa. Karibuni kwa maoni,maswali na manunuzi.
Kama unahitaji spare parts au bidhaa za aina yoyote kutoka South Africa karibu inbox kwa mawasiliano zaidi .
Leo tunaanza na bus,
Marcopolo Paradiso 1200,
Mercedes Benz luxury bus,
Rear engine,
Year 2010,
Bei ni milioni 110 tu .
Unawasha na kuondoka.