Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

ha ha ha ha

Nilijua tu uzi kama huu siwezi kukukosa aiseee.

Warefu wanahitaji ku deal nao kwa akili, vinginevyo unaweza tia aibu aisee.
haha kwenye siasa nikafanye nini wakati wale wana lumumba woote hawajaukwaa udc wapo kimyaaaa hawana sera kabisa bora nipige porojo maana j3 ya leo nipo hoi konyagi imanikomesha kazi natega mpaka hangover iishe
 
haha kwenye siasa nikafanye nini wakati wale wana lumumba woote hawajaukwaa udc wapo kimyaaaa hawana sera kabisa bora nipige porojo maana j3 ya leo nipo hoi konyagi imanikomesha kazi natega mpaka hangover iishe
ha ha ha

aisee nitakutafuta aisee, kuna kaishu nataka nikutonye.

Lakini kwanza konyagi zikupengue kichwani.
 
sitaki beba mzigo miez 9

uwii tosha mimba ni kitu ingine... wale wamama wanaobeba mimba kumi na mbili wako na exrta power lolz
Kuna mama wa miaka 32 siku alikuwa anahojiwa..Ana watoto 12 kwa mwanaume mmoja..Na hakuna mapacha hata mmoja..Alinizibua masikio aisee
 
Kuna mama wa miaka 32 siku alikuwa anahojiwa..Ana watoto 12 kwa mwanaume mmoja..Na hakuna mapacha hata mmoja..Alinizibua masikio aisee
sasa hao watoto 12 aghrrrrrr kujizeesha tu halafu masikini ndo wanakuwaga na watoto chungu nzima hata kuwalea ni kazi huyu akivaa t shirt mwingine ,kaptula mwingine kifua wazi..................


nadhani starehe ya masikini sie ni ku du.. wakati matajiri wao hata usingizi hawaupati kisawasawa ,,,,, wanawaza jinsi ya kuongeza mapene😀😀😀😀
 
Hata wanawake wanapenda wanaume warefu.

Ofcoz watu warefu awe mwanamke au mwanaume wana mvuto wao.

Sifa kubwa ya watu warefu ni kujiamini, wengi pia hua wapole na wastaarabu. Hua ni waskivu pia.

Kua mrefu ni ufahari.
kuwa mrefu si ufahari, usidanganye, 'KUWA MREFU NI MAUMBILE'
 
Hata wanawake wanapenda wanaume warefu.

Ofcoz watu warefu awe mwanamke au mwanaume wana mvuto wao.

Sifa kubwa ya watu warefu ni kujiamini, wengi pia hua wapole na wastaarabu. Hua ni waskivu pia.

Kua mrefu ni ufahari.
Ujakosea...
 
sasa hao watoto 12 aghrrrrrr kujizeesha tu halafu masikini ndo wanakuwaga na watoto chungu nzima hata kuwalea ni kazi huyu akivaa t shirt mwingine ,kaptula mwingine kifua wazi..................


nadhani starehe ya masikini sie ni ku du.. wakati matajiri wao hata usingizi hawaupati kisawasawa ,,,,, wanawaza jinsi ya kuongeza mapene😀😀😀😀
Teh teh..Mpe ngono maskini asahau shida zake...Kaboom 1:2-3
 
Kuna demu mmoja nilishawah kumtongoza alikuwa ni mwanafunzi alikuwa ni mrefu na mweupe siku ya ku do nae nilijishtukia mapema mtoto wa watu nilimchafua bure kichwani nikawa nimesha panga plan b 7bu nilikuwa nimesha fail mwisho nikachomoa fasta na kumpa hela ambayo sikuwa nimetarajia kumpa ili kuzipa aibu! Hadi leo mademu warefu sina ham nao

Umenichekesha sana
 
Habari wakuu.

Wakuu kusema ukweli wanawake warefu wanaukonga sana moyo wangu. Wanawake wafupi itokee tu basi, ila moyo wangu hasa unavutiwa sana na wanawake warefu.

Mwanamke mrefu hasa ukitembea nae njiani unajisikia ufahari. Mimi wanawake wafupi na wasio na mikia inatokea bahati mbaya tu vile nakua sina ramani yoyote kama vile simba akiishiwa nyama hula majani.

Salute kwenu wanawake warefu.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binasfi na sio kumkshfu mtu yoyote.
The world war III !
 
Back
Top Bottom