Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,077
Habari wakuu.

Wakuu kusema ukweli wanawake warefu wanaukonga sana moyo wangu. Wanawake wafupi itokee tu basi, ila moyo wangu hasa unavutiwa sana na wanawake warefu.

Mwanamke mrefu hasa ukitembea nae njiani unajisikia ufahari. Mimi wanawake wafupi na wasio na mikia inatokea bahati mbaya tu vile nakua sina ramani yoyote kama vile simba akiishiwa nyama hula majani.

Salute kwenu wanawake warefu.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binasfi na sio kumkshfu mtu yoyote.
 
Wanawake warefu wazuri lakini mafiga ya kutosasha kila chocho ana mtu yaani full michepuko ukigusa simu yake mkali ka pilipili kichaa wengi wao hujiona bora kumbe hawana lolote hata ladha hawana
Ladha tena?

Mkuu kwenye yale mambo kila mtu ana ladha yake..
 
Back
Top Bottom