Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

asee mie ni mfupi na papuche yangu fupi madude makubwa yanaingia robo tu.............. bhaaaaaaaas sasa sijui habari za warefu😵😵😵😵😵
Teh teh..Kwa maana hiyo kwa warefi ni vise versa...Sasa mpendwa si uwe unachukua size..Siku mtu akisokomeza yote si balaa
 
Teh teh..Kwa maana hiyo kwa warefi ni vise versa...Sasa mpendwa si uwe unachukua size..Siku mtu akisokomeza yote si balaa
huwa naruka na kuteleza kama kambale nikiona inaanza kuniumiza najinasua atii kisa cha kutembea kama nimekatika senta bolt ni nini?
 
Hahaha rafiki zangu sasa siwapatii picha, maana wananijua na babes warefu.

Teh daddy unadhani ntawajali nyie sasa, yani kaandunje kangu kila nikitembea nako ntakashika mkono, ntakaflauntije sasa. Mtakoma na roho zenu
Nope..Unadhani hata ukiwa na andujne mi nina neno basi..Mradi we unafuraha basi inatosha..Huo msonyo ni kutokana na kwamba ulikuwa unawaponda halafu ndo wamekukamata..Yani hapo kwenye harusi ntamualika hata Mange aje kukuchamba..Bora ukae kimya teh
 
huwa naruka na kuteleza kama kambale nikiona inaanza kuniumiza najinasua atii kisa cha kutembea kama nimekatika senta bolt ni nini?
Teh teh..Hujatulia wewe..Ngoja siku mtelezo ugome..Leba ndo bye bye tena
 
Nope..Unadhani hata ukiwa na andujne mi nina neno basi..Mradi we unafuraha basi inatosha..Huo msonyo ni kutokana na kwamba ulikuwa unawaponda halafu ndo wamekukamata..Yani hapo kwenye harusi ntamualika hata Mange aje kukuchamba..Bora ukae kimya teh
Hahaha mbona mtanichamba wengi sasa. Basi kuanzia leo ntaanza kusifia na wafupi. Mange usimwite please, akimaliza kunichamba mimi, atahamia kwenu wazazi. Anachambaga ukoo mzima
 
Hahaha mbona mtanichamba wengi sasa. Basi kuanzia leo ntaanza kusifia na wafupi. Mange usimwite please, akimaliza kunichamba mimi, atahamia kwenu wazazi. Anachambaga ukoo mzima
Teh teh..Anza tu..Mama ako atoto alikuwa anapenda maandunje ila kakutana na daddy ako formula zote zimechange...
Mange anafufua hadi waliokufa..Hafai hata kidogo..
 
Mmmh wewe Dada wewe, hebu tema mate chini, kuna zingine ukimwangalia tu aliebeba, huwezi tamani kufunua, sio kila k, ni k, nyingine ni alama ya jinsia yake tu.

Unatafuta laana mjomba
 
Tupeni na wasifu wa wanawake wafupi basi
Wanajua kupenda kweli kweli, wakishika mwanaume tena mrefu walah hatoki, ILA wabishi hao, kila kitu wanajua hata kama wanajua kuwa hawajui, hawataki kushindwa wala kupitwa na jambo, hawataki kutawaliwa wanataka wao ndo wawe na sauti katika mahusiano, wanakuwa wakali kwakuwa hawajiamini wanafikiri wanadharauliwa kutokana na kimo chao.
 
Habari wakuu.

Wakuu kusema ukweli wanawake warefu wanaukonga sana moyo wangu. Wanawake wafupi itokee tu basi, ila moyo wangu hasa unavutiwa sana na wanawake warefu.

Mwanamke mrefu hasa ukitembea nae njiani unajisikia ufahari. Mimi wanawake wafupi na wasio na mikia inatokea bahati mbaya tu vile nakua sina ramani yoyote kama vile simba akiishiwa nyama hula majani.

Salute kwenu wanawake warefu.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binasfi na sio kumkshfu mtu yoyote.

Hata mimi pia napenda sana wanawake warefu .natamani sana nije nimuoe mwanamke mrefu
 
Kuna demu mmoja nilishawah kumtongoza alikuwa ni mwanafunzi alikuwa ni mrefu na mweupe siku ya ku do nae nilijishtukia mapema mtoto wa watu nilimchafua bure kichwani nikawa nimesha panga plan b 7bu nilikuwa nimesha fail mwisho nikachomoa fasta na kumpa hela ambayo sikuwa nimetarajia kumpa ili kuzipa aibu! Hadi leo mademu warefu sina ham nao
teh teh teh

Mkuu pole sana aiseee.

Madem warefu wanaweza kukuharibu kabisa kisaikolojia kama huwajulii aiseee.

Unaweza fikiri uwezo wako kwa bed umeshuka, kumbe wenzio zana zao ndio heavy duty.

Nishagajifunza, warefu siwafakamii, mimi typezangu ni wafupi wafupi wale.
 
Acha uoga bana..Mtafutie ndugu yake..Ya Mungu mengi ati..Maumizu si masaa kadhaa tu ama
sitaki beba mzigo miez 9

uwii tosha mimba ni kitu ingine... wale wamama wanaobeba mimba kumi na mbili wako na exrta power lolz
 
Back
Top Bottom