Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

Kuacha utani wanawake warefu ni wazuri sana

Utawajuwa tu wachaguwa nyama bucha ni lile lile tu[emoji126] [emoji108]
Achana na hii misemo ya kizamani mkuu.

Sio kila nyama ni nyama. Hata nyama zenyewe hizi zinatofautiana ladha, nyama ya kuku sio sawa na sungura au punda. Nguruwe sio kama mbuzi nk.

Hata kwenye nyama ya mnyama huyo huyo nyama zake hazifanani ladha, maini yana ladha tofauti na shingo au steki. Utumbo vile vile. Ona tofauti hapo.
 
Achana na hii misemo ya kizamani mkuu.

Sio kila nyama ni nyama. Hata nyama zenyewe hizi zinatofautiana ladha, nyama ya kuku sio sawa na sungura au punda. Nguruwe sio kama mbuzi nk.

Hata kwenye nyama ya mnyama huyo huyo nyama zake hazifanani ladha, maini yana ladha tofauti na shingo au steki. Utumbo vile vile. Ona tofauti hapo.
Hata nyama ya ng'ombe ilielala kwenye friji na ya leo ni tofauti, yote kwa yote, wengine wamebeba utambulisho wa jinsia tu, sio pakufanyia.
 
Habari wakuu.

Wakuu kusema ukweli wanawake warefu wanaukonga sana moyo wangu. Wanawake wafupi itokee tu basi, ila moyo wangu hasa unavutiwa sana na wanawake warefu.

Mwanamke mrefu hasa ukitembea nae njiani unajisikia ufahari. Mimi wanawake wafupi na wasio na mikia inatokea bahati mbaya tu vile nakua sina ramani yoyote kama vile simba akiishiwa nyama hula majani.

Salute kwenu wanawake warefu.

Naomba ieleweke kua haya ni maoni yangu binasfi na sio kumkshfu mtu yoyote.
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images5H15HNCD.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images38A7V39O.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images5H15HNCD.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images38A7V39O.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images5H15HNCD.jpg
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images38A7V39O.jpg
 
Kwa mtiririko huu.....
Natarajia kusoma uzi mwingine soon utakao kuja kwa heading ya WANAUME WAREFU NI WAZURI SANA
299c30379fcdad74abe45e396b641c87.jpg
b25f94376dd88a8ddf6057533e423f5f.jpg
1a86b95937e8987f1a432ac1843356e3.jpg
0e7392bed7c7174e5e74d4b3c069cbc2.jpg
 
Inategemea na mapishi dada. Nyama ikiwa na viungo(spice) ina ladha tofauti kabisa.
Unavyosema viungo, wenzio siku hizi wanaweka maspice ya pilau yote huko chini ili iwe na ladha zaidi. Ukifunuliwa unakutaka harufu ya msosi.
 
Unavyosema viungo, wenzio siku hizi wanaweka maspice ya pilau yote huko chini ili iwe na ladha zaidi. Ukifunuliwa unakutaka harufu ya msosi.
Hahahahahaha sio viungo hivyo mkuu kama nina njaa ningekwenda restaurant au kioski tu. Naongelea wenye kujifanya kama porn star kitandani au freaky sio wale magogo tu hata kukupara na kukutafuna wao hawana hayo. wapo kujificha sura tu kama wanacheza kobolela.
 
Back
Top Bottom