ungeandika na majina yao basi.....
Ama kweli hizo kwatoJamani miaka 50 ya Uhuru watanzania sasa tunapendeza.. Jamani wamependeza.. Kwato ukwatuliwe.. Pesa hapo imetumika kumlipua Mtu .. Wewe unazo? Mbahili kazi kumezea mate vilivyokwatuliwa Na wenzio .. Mwaya mmependeza.. Michipsi Kwa sana ., hunha!!
Wacha picha ziongee
![]()
![]()
huo ni ushamba na ulimbukeni, kina dada badilikeni na mjiheshim
sasa huo mkono kauweka hapo wa nini? p1
charge laptop yako kabisa! isije charge kuisha, kabla ya geisha soap! lolest!Bafuni.....sijui kama ntatoka leo
"Kwetu pazuri nimeshapakumbuka, ninayo hamu kuishi na mwokozi wangu, kwa amani na furaha tena ya ajabu, sipati picha kwa watakao fika kwetu mbinguni 2x".
"Hii dunia imejaa shida, kama hujui nenda hospitali ukaone..."
Mpendwa njoo urudi nyumbanii, asubuhi yaja tuyakimbie ya dunia, atayekosa hapo kweli ni hasara, haya matatizo ni mitego ya shetani, ili tushindwe kufika nyumbani, kwetu pazuri lakini kwa Jina, Jina la Yesu tumemshinda tunaenda!"