Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
unaweza kusema ni fasheni kutegemeana na mtazamo wako. Lakini tuseme ukweli tusipindishe maneno, tumeliwa, shetani amewafunga magoli. Huu ni ujinga ni sawa na mtu kusema anafuga jini, mwanadam anaweza kufuga jini au yeye jini ndilo linafuga watu. Kuna watu wameamua kujitoa kwa shetani.