Kuacha Mapaja Nje Ni Fashion?

Kuacha Mapaja Nje Ni Fashion?

Allien

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2008
Posts
5,546
Reaction score
1,861
Wacha picha ziongee

mtoto+wee.JPG



mapaja+mtoto.JPG
 
picha ya pili kwapani naona km kuna rangi nyeusi sn sijui ni nn hiyo
 
Biashara matangazo ila je ubora wake upoje! Sioni ubora wala kiwango cha bidhaa hii.
 
Jamani miaka 50 ya Uhuru watanzania sasa tunapendeza.. Jamani wamependeza.. Kwato ukwatuliwe.. Pesa hapo imetumika kumlipua Mtu .. Wewe unazo? Mbahili kazi kumezea mate vilivyokwatuliwa Na wenzio .. Mwaya mmependeza.. Michipsi Kwa sana ., hunha!!
 
"Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Richie Rich, hivi sasa amejipanga katika ujio wa filamu yake mpya ya Uyoga,ambayo amekutanisha warembo ambao huenda hujawahi kuwaona katika filamu yoyote. Nifilamu ambayo wamejaa wasanii ambao wengi ni wale wanaochipukia na kutokea sehemu mbali mbali kama Miss Kinondoni mwaka 2011 Stera na Miss Arusha mwaka 2011 Aisha. Pia nimekutana na watu ambao huwa napenda sana kuona kazi zao kama Recho na Libert"

Source:
bongo unit

Warembo wenyewe ndo hawa walioachia mapaja:


make+up.JPG


Picha ambayo warembo,ambao wakiwa kwenye chumba chao wakijipaka Make up kwaajili ya kuingia mzigoni.
 
mamisi.JPG


Miss Kinondoni Stera na Miss Arusha Aisha

 
Back
Top Bottom