Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Mbona hakuna taarifa za kiintelijensia kuwa wataiba kura au kuwa wananchi watavamiwa usiku wa manane na maninja kisha kubolewa nyumba zao? kwahio hata ibada zisifanyike mana kuna mikusanyiko!!!! Masaburi style