TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,197
- 18,227
kwahiyo anajua wapo, na hao alshabab watahakikisha kwamba wanaharibu maandamano kwa manufaa ya dowans, in short alshabab wanasapoti dowans, na jeshi la polisi linajua, na hivyo basi jeshi la polisi haliwezi kulinda wananchi wake dhidi ya alshabab kwasababu alshabab ni wakali zaidi ya jeshi letu na in other words polisi wamehalalisha uwepo wa alshabab kwetu ingawa juzi tuliambaiwa tusiwe na wasiwasi.Kova unataka kutuambia Al shabab wapo nchini tayari,na je kama hivyo nvdivyo polisi wamechukua hatua gani?hivi anawajua Alshabab au anawaangalia kwenye TV na kuwasoma kwenye gazeti?akawaulize Uganda watampa jibu,na kama iko hivyo hatua gani zimechukuliwa kuzuia mikusanyiko?je ligi ya vodacom itasimama?je mechi ya simba na yanga nayo itaahirishwa?hapo wamechemka,je kwenye night club amabazo zinakuwa na watu wengi wamefanya nini kuzuia mashambulio yasitokee?makanisani na misikitini hali ya usalama ikoje?
Hapana hapo naona wanaibeba serikali kwa kuwa wao ni vibaraka wa sisiemu-magamba basi wametafuta mbinu ya kuzuia,kwani naamini ccm lingewashuka.
Jamani wa JF tutafanyaje kuonyesha hisia zetu juu ya DOWANS
akili yangu fupi kama mie mwenyewe inaniambia alshabab wapo, hawana madhara kwa sasa ila tukiandamana tu tutakoma.... aisee!!
sasa sijui walipitia mipaka ipi?