Kova: Maandamano ya DOWANS kesho marufuku!

Kova: Maandamano ya DOWANS kesho marufuku!

Kweli sasa wanataka kutuharibia nchi kwani sie tuna ugonvi gani na al shababy aache hizo huyo Kova
 
Basi asitishe pambano la simba na yanga mana pia ni kusanyiko la watu.
 
Namshauri asiruhusu mashabiki kwenda kangalia mech ya simba na yanga sababu kutakuwa na maelf ya watu tena walokaa sehem moja sio kama wtakaokuwa wanatembea..anakmbia majukumu ya kulinda waandamanaji kaz kukaa ofisin
 
Hivi kwa mfano wananchi wakijitokeza na kuandamana hiyo Kesho ni nani ataweza kuwazuia?
 
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...

Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....

Nimesoma press release inasema: "kuna taarifa za kiintelejensia..."

Hivi hili huwa ni dude gani linakuwa tu linanyemelea maandamano na huwa hatusikee "taarifa za kiintelejensia" katika mambo mengine mfano uhalifu, ufujaji wa mali ya umma, ufisadi nk?

Mbona Watanzania tunachezewa hivi?
 
Na wanaharakati wanaoandaa maandamano wameamuaje baada ya kova kuongea upuuzi huo??

KOVA ukiligeuza hili jina kinyumenyume unapata VOKA ukiongeza herufi D katikati unapata VODKA, unategemea kutakuwa na akili hapo mkichwa??? Yaani ni full masaburi..
 
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...

Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....

Aisee mbona napata kazi ku=connect labda yeye knows much. Lakini jamaa, wanaharakati walisisitiza kuwa hakuna sheria inayosema kuwa kuandamana lazima upate kibali. Sheria inasema ni kutoa notification kwa polisi ili waandae ulinzi. Wao walitoa taaraifa tangu Jumatano wiki iliyopita, yaani more than a week in advance. Tusubiri shughuli hiyo.
 
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...

Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....

Tunasikitika kuona jeshi la polisi linacheza mchezo wa mafisadi akiwamo fisadi mkuu JK.

Sasa naamini yale waliyoyasema kuwa Dowans walipwe...serikali yetu inatuongezea tu hasira dhidi yake na muda si mrefu uvumilivu utatushinda watanzania.

CCM na serikali yake wanadhani watz ni wajinga kiasi hicho. Kwanza tuna uchungu na fedha zetu zilizoibiwa na wajanja wakikingiwa kifua na Mkulu, Ngeleja na Werema. Wasidhani watatutishia alshabab...sasa hatuogopi tutaingia mitaani na kupigana kinyume na serikali hii ya kifisadi.

Mko tayari jamani?
 
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...

Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....

Kwa hiyo, hata bunge halitakaa mwezi ujao, maana hata wao ni mkusanyiko wao ni mkubwa? Na shule chekechea, shule za msingi na sekondari na vyuo je? Au huko taarifa za kiintelejensia hazigusi?
 
Haya maandamano ni ya CDM kutaka kutuvurugia amani yetu ya Tz na si lingile lolote !

Maandamano haya ni ya baadhi ya watanzania walioguswa na ujanja ujanja unaotaka kufanywa watu wachache wagawane mabilioni. Sio CDM kama unavyofikiri!
 
Kova simamisha na mbio za MWENGE, maana Al-Shababy watashambulia!!!
 
Hivi maandamano ndio ujanja hao wanaharakati wanaotetea matumbo Yao na ni wanasheria wametoa mchango gani au hapo ndio mwisho wa taaluma Yao ya sheria

Tujiulize kusipokua na mambo kAma haya mabwana zao wanaowadhili wataleta Pesa kweli simnawaona mate yanavyowakauka na kutoa macho PESA hizo....

Muulizeni mama NKYA alifoji hadi kuwapanga wamasai waseme wamefhilumiwa ardhi Yao Tugawaneni hizo Pesa wanaharakati. sio mnatupa Tshirt tu Katiba mpya ndio jawabu. Tuleni wote jamani....

Ila maandamano lazima..... Wachaga tunataka kuikomboa nchi hii
 
Mandamano ya Dowans uwanja wa taifa jumamosi pale usalama upo.
 
Ok kwa hiyo watu wakiwa kwenye mechi ya Yanga na Simba wanaweza kushambuliwa na Al Shabab.!!

TFF, BMT,Simba na Yanga wanatakiwa watoe tamko ili watu wasikate ticket za kuingia kwenye michezo.
 
Kwa hiyo, hata bunge halitakaa mwezi ujao, maana hata wao ni mkusanyiko wao ni mkubwa? Na shule chekechea, shule za msingi na sekondari na vyuo je? Au huko taarifa za kiintelejensia hazigusi?
ongeza na mahospitalini, makanisani na kumbi za starehe.
 
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...

Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....
Pole mkuu, lakini usillie. Hii ndiyo bongo. Ulikuwa ulaya kwa muda mrefu nini? Maana kwa sisi tuliopo hapa bongo kauli kama hizo ni za kawaida. Mtu huyo huyo anayepinga maandamano hayo sahihi, kesho atalalamika chini chini ati mshahara wa mwanaye au mtoto wa dada ni mdogo. Lakini yupo tayari mafisadi walipwe mabilioni ya kodi zetu pamoja na ya kwake kiujanja ujanja, ili mradi awaridhishe waliomuweka katika position ile. Oh gosh it pains!!!!
 
Back
Top Bottom