Kova unataka kutuambia Al shabab wapo nchini tayari,na je kama hivyo nvdivyo polisi wamechukua hatua gani?
Hivi anawajua Alshabab au anawaangalia kwenye TV na kuwasoma kwenye gazeti?akawaulize Uganda watampa jibu,na kama iko hivyo hatua gani zimechukuliwa kuzuia mikusanyiko?je ligi ya vodacom itasimama?je mechi ya simba na yanga nayo itaahirishwa?
Hapo wamechemka, je kwenye night club amabazo zinakuwa na watu wengi wamefanya nini kuzuia mashambulio yasitokee?makanisani na misikitini hali ya usalama ikoje?
Hapana hapo naona wanaibeba serikali kwa kuwa wao ni vibaraka wa sisiemu-magamba basi wametafuta mbinu ya kuzuia,kwani naamini ccm lingewashuka.
Jamani wa JF tutafanyaje kuonyesha hisia zetu juu ya DOWANS