Kosa la Rugemalira ni nini ?

sijakupata you mean sing sethi kajiuzia mwenyewe hisa zake au? twende taratibu, swali langu ni hili:
james rugemalira had 30% of IPTL, 70% zilikuwa za nani? Mbona yeye aliyemuuzia sethi 30% anaitwa "mwizi" lakini aliyemuuzia sethi 70% hata kutajwa ni nani hatajwi?
Mkuu ukiangalia hizo hisa utakwama kwenye tope hawa jamaa wamegawana pesa siyo zao na bado wanadaiwa Bilioni 15 na Tanesco, sijui kama umenielewa ndiyo maana Takukuru na CAG wameingia kwenye ili sakata.
 
FACTS:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.

sijaona bunge likimlaumu james, mie naona bunge linataka kujua ukweli kuhusu pesa ya wananchi
 
FACTS:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.

Utajuaje wakati wewe ni mnyarwanda mwenzangu? MR. FACTS
 
Kama nimelewa vyema, Regemalila alikwisha maliza biashara yake na PAP, kwani PAP walinunua IPTL yote ikiwa ni pamoja na hisa 30% za Rugemalila kupitia VIP Engineering, maana hata tranfer ilifanyika na caiptal gain Tax zililipwa.... sasa inakuwaje anapata mgao katika EScrow ambayo ilitolewa BOT kwa maana ni hela za PAP sio za IPTL ambayo Rugemalila ndio alikuwa na mslahi huko? maana yake Regemalila inawezekana alitumika kugawa rushwa na ndio litakuwa kosa lake

FACTS:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.
 
hapo kwenye ununuzi wa hisa ndipo kwenye wizi mkubwa hakuna hati halisi za hizo shere certificaties walifanya udanganyifu mkubwa zilizuiwa na mahakama, na kwenye kodi walitoa nyaraka za uwongo kukwepa kodi.

vyovyote vile,iptl haikuwa mali ya tanesco.kama usanii ulifanyika toka mwanzo wakati iptl inaingia mkataba wa kuzalisha umeme na tanesco na ndio mana kuna tetesi kuwa chenge na yona wamepata kidogo vjicent.bahati mbaya sana hilo siyo shauri lilipo.kwa shauri lilopo mezani ruge yupo smart.walaumu viongozi wenu mliowapa dhamana,acha kuanghaika na watu wadogo na wasiohusika vingnevyo mtaibiwa kla siku kwa kutokujua kwenu.
 
Acha papala,subiri kesho sindano zikuingie,CAG na TAKUKURU wameona wizi,mwenzangu na mimi hata certificates huna unakuja na porojo zako kwamba JR sio mwizi.
 
Wewe utakuwa mtoto wa rugemalila uliyepewa 800 ml kwenye mgawo ndiyo maana unamtetea baba yako mwizi wewe

Kumbuka kila mtu ana haki ya kutetewa!James sio mwizi,maharamia ni viongozi wenu mliowachagua.Kumbuka kujiandikisha daftari la wakaazi vingenevyo next zinapgwa toka kapu la hazina kuu ya serikali tena safari n zle za kwenu haswa.
 
Hakuna fedha zimetoka escrow zikaenda kwa JR!

Mkuu unaonekana upo mbali na ukweli na hata haufuatilii issue nzima ilivyo. Kwa taarifa yako JR aliwahi kuiandikia Wizara ya Nishati na kupeleka nakala kwa taasisi 23 ikiwemo BoT, kwamba PAP imlipe pesa zake kwanza kabla ya kupewa fedha za ESCROW.Ajabu PAP wakalipwa ndiyo JR ndiyo akapewa chake. Huhitaji kwenda shule kujua kuwa JR alilipwa pesa za ESCROW. Hizo fedha kuna kodi ndani yake, lakini inasemekana ni haki ya Tanesco. Kosa la JR ni kupokea malipo ya fedha zenye utata ambazo yeye mwenyewe alitahadharisha kabla ya kulipwa. Lakini baada ya kulipwa inatia shaka kwa hao wanaogaiwa. Ni wateule Fulani hivi. Ni sawa JR kauza hisa zake, lakini namna alivyouza, source ya fedha na hao anaowagaia ndiyo tatizo
 
jamaa ni mdini

anawapa pesa watu wa dini moja tuu

inamaana hana hata shamba boi wa dini yetu?
 
Bora mngekaa kimya tu kwenye ili mnazidi kumzamisha jamaa yenu.

James Rugemalira wa VIP Engineering and Management (VIPEM) na Harbinder Sing Sethi, wa Pan Africa Power (PAP) kwa kushirikiana na viongozi wa serikali wameitapeli na kuibia serikali fedha zote zilizochukuliwa toka akaunti ya Tegeta Escrow.

Mkuu kaa kimya.

Argue kwa hoja usiwe Emotional utapotea.Hatutaki mafisadi lakini lazima tutumie akili kuwakabili.Nyie ndo mnaosema kila siku wanaotuhumiwa kwa mauaji ya ma-Albino wafungwe,mambo hayawezi kwenda hvo.Lazima ukweli uta9amwe na haki itendeke kwa wote.
 
Jaji yupi yupi wa mahakama kuu kahongw,ruhangisa yuop eac crt of justice,mujilizi,lhrc,je walikuwa wana sikiliza kesi gani juu yake
 
facts:

1. James rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya iptl kupitia kampuni yake ya vip. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya iptl kihalali kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa pap.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya pap kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

Maswali:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na pap hizo hisa kama wangeafikiana bei! Pap wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? Iptl sio kampuni ya umma, pap sio kampuni ya umma, vip sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa james rugemalira upo wapi.
...




Acha uzembe cag na wengine hawakuliona hilooo.
 
Back
Top Bottom