Kosa la Rugemalira ni nini ?

Kosa la Rugemalira ni nini ?

I rest my case. Kazi iendelee
 
FACTS:

1. James Rugemalira alikuwa anamiliki 30% ya IPTL kupitia kampuni yake ya VIP. Asingeziuza hizo hisa, mpaka leo angekuwa bado anamiliki 30% ya IPTL KIHALALI kabisa, hivyo kuwa mbia mwenza wa PAP.
2. James rugemalira aliuza hizo share zake kwa kampuni ya PAP kwa dola milioni 75. Uuzaji wa hizi hisa ulifuata taratibu zote kisheria including ulipaji kodi.

MASWALI:
1. Huyu ndugu anaitwa mwizi kivipi? Amelipwa fedha kutokana na kuuza hisa, tatizo liko wapi hapo? Kisheria angeweza kumuuzia yoyote yule tofauti na PAP hizo hisa kama wangeafikiana bei! PAP wamefikia dau na yeye kawauzia, where is the problem hapo? IPTL sio kampuni ya umma, PAP sio kampuni ya umma, VIP sio kampuni ya umma. This is purely a private sector transaction. Mbona Rostam aliuza share zake vodacom kwa mabilioni tena kupitia nje ya nchi lakini hakuitwa mwizi (kwa kukwepa kodi among other things), badala yake akasherehekewa kwa front-page news? Naomba kufahamishwa kwa hoja tafadhali, uharamia wa James Rugemalira upo wapi.
Kosa la Mtktf Ruge ni kuwa Muhaya ambao Mwendachato aliwachukia with a passion! Kosa la Mtktf Ruge ni kuwa na pesa nyingi ambazo Mwendachato alitamani azikombe kama alivyowadhulumu mabilioni wafanya biashara wengine akiwemo Mo Dewji! Mbele ya sheria za nchi Ruge hakuwa na kosa kwani hata kodi ya serikali alilipa tofauti na waliokwapua mabilioni Stanbic bank kwa makandarasi ambao hawakulipa kodi! Hata hivyo Haki imeshinda Uovu na dhuluma, Ruge is as free as a molecule. Rest in hell forever Mwendachato!
 
Back
Top Bottom