Awamu ya Tano Matajiri waliishi kama mashetani, pesa zao ziliporwa, Bureau De Change zilifungwa, wakabambikwa kesi nzito

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,719
218,266
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini , ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto , kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi , basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa .

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum , yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa , wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa .

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya , Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji , Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu

Screenshot_2024-03-19-12-52-51-1.png

Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri , hapa kosa lake lilikuwa nini ? kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali .

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain , huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL , kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela

DCryCArXsAIdw_T.jpg

Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana uhusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL na kumdhulumu Rugemalira , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira , Tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake , yaani mpango ulikuwa ni kumpa hisa zote za IPTL Harbinder ili kumpiga Ruge (Hili ndio lilisababisha Tibaijuka kufutwa uwaziri , achaneni na zile porojo zingine)

Kwa wasioelewa hapa ni hivi , huyu Ruge alikuwa na hisa zake za IPTL kama vile Karamagi alivyokuwa TICS , hivi leo unaweza kuzuia hisa za Karamagi huko TICS ukaeleweka ? Kama Ruge angekuwa na Kiherehere kwa zile hisa za 30% kwenye IPTL ndiye angekuwa msemaji na kiongozi wa IPTL kama alivyokuwa Karamagi na hisa zake za 30% TICS , hapa naandika ili kuonyesha kwamba Ruge alionewa tu na ndio maana Ameachiwa huru bila masharti yoyote.

ruge2.png

Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi , huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno , zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela ? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu , bali ni laana kuu kwa Mungu .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini, ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto, kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi, basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa.

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum, yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa, wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa.

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya, Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji, Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu.


Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri, hapa kosa lake lilikuwa nini? Kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali.

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain, huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL, kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela.


Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana ubusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira, tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake.


Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi, huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno, zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu, bali ni laana kuu kwa Mungu.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Kwa hiyo Hawa wa IPTL uliataka waishi vipi?
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini, ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto, kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi, basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa.

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum, yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa, wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa.

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya, Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji, Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu.


Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri, hapa kosa lake lilikuwa nini? Kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali.

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain, huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL, kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela.


Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana ubusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira, tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake.


Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi, huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno, zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu, bali ni laana kuu kwa Mungu.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Ipo siku mumeo atashindwa kukupa mimba afu utamlaumu JPM
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini, ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto, kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi, basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa.

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum, yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa, wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa.

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya, Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji, Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu.


Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri, hapa kosa lake lilikuwa nini? Kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali.

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain, huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL, kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela.


Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana ubusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira, tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake.


Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi, huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno, zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu, bali ni laana kuu kwa Mungu.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Wewe ni shetani mojawapo. Ni zee jinga kama wewe linaweza kuja na hoja za kipumbavu kama hizi. Kundu kufa wewe
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini, ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto, kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi, basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa.

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum, yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa, wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa.

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya, Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji, Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu.


Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri, hapa kosa lake lilikuwa nini? Kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali.

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain, huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL, kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela.


Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana ubusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira, tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake.


Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi, huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno, zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu, bali ni laana kuu kwa Mungu.

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Je baada ya hayo maskini tumeupata ule utajiri?
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini , ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto , kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi , basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa .

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum , yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa , wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa .

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya , Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji , Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu

View attachment 2938993

Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri , hapa kosa lake lilikuwa nini ? kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali .

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain , huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL , kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela

View attachment 2939007

Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana uhusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL na kumdhulumu Rugemalira , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira , Tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake , yaani mpango ulikuwa ni kumpa hisa zote za IPTL Harbinder ili kumpiga Ruge .

Kwa wasiolewa

View attachment 2939017

Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi , huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno , zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela ? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu , bali ni laana kuu kwa Mungu .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Na ndio awamu ya 5 ukimuuliza mfuasi yeyote wa chadema agenda ya ufisadi atakupiga mpaka akuue walikua kwenye piki ya kukumbatia wezi.wahujumu uchumi,mafisadi ,waasherati,majangili na wauza madawa!
 
Tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa 3 ambao ni Mwezi wa Mungu

Kwenye awamu hii utajiri ulikuwa sawa na Uhaini , ukiwa na hela nyingi hata kama zimetokana na Mahindi uliyolima mwenyewe utakiona cha moto , kama hujaitwa kuhojiwa ama hujakamatwa na kupewa kesi ya Uhujumu uchumi , basi ukiamka asubuhi utakuta hela zako zimesombwa .

Kulikuwa na wivu wa kijinga sana ambao haufahamiki ulitoka wapi , Maduka ya halali ya kubadilishia fedha za kigeni yakavamiwa na vikosi maalum , yakasachiwa na kuporwa kila kilichomo na kufungwa , wenye mali wakakamatwa na kuhojiwa huku wakitishwa .

Wafanyabiashara wenye mafanikio waliopata tenda za serikali kwa halali wakadakwa na kuswekwa rumande , huku wengine wakipewa kesi za kutisha za Uhujumu uchumi na madawa ya kulevya , Mfano wa karibu alikuwa Yusufu Manji , Mfadhili na kiongozi wa Yanga na Diwani wa Mbagala Kuu

View attachment 2938993

Huyu alipewa kihalali kazi za kutengeneza sare zaJeshi , magari ya Polisi na Majengo ya serikali na akapata pesa akawa Tajiri , hapa kosa lake lilikuwa nini ? kuhusu namna alivyoshinda tenda waulizwe viongozi wa awali .

Mwingine katika wengi walioonewa ni Mzee Rugemalira , huyu Mzee kwanza namshukuru kwa ujasiri wake wa kugoma kuomba radhi na kukubali ule ujinga wa Plea Bargain , huyu alimiliki kihalali kampuni yake iliyoingia ubia na IPTL , kalipwa hela zake halali za Escrow akaunti akadhalilishwa na kurundikwa jela

View attachment 2939007

Ikumbukwe kwamba Rugemalira hana uhusiano wowote na huyo Harbinder , Wamekutana Jela tu , Harbinder aliletwa na watu wa serikali ili ainunue IPTL na kumdhulumu Rugemalira , kama Harbinder alikuwa na Makosa hayo hayakumhusu Rugemalira , Tunamshukuru Mama yule Tibaijuka aliyemstua Ruge kwamba kulikuwa na njama za kumdhulumu hela zake , yaani mpango ulikuwa ni kumpa hisa zote za IPTL Harbinder ili kumpiga Ruge .

Kwa wasiolewa

View attachment 2939017

Ni kweli kwamba kulikuwa na wezi wa mali ya umma , lakini isingewezekana kila Tajiri awe mwizi , huyu Rugemalira ndiye aliyeingiza vinywaji vitamu kwenye nchi hii kutoka ulaya kwa miaka mingi mno , zikiwemo hizo bia tamu za Heineken , mtu mwenye juhudi kama hizo awezaje kukosa hela ? Utajiri haujawahi kuwa dhambi wala umasikini siyo utakatifu , bali ni laana kuu kwa Mungu .

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Na ndio awamu Lema makundi yake ya kijambazi yalipokomeshwa hatuyasikia tena kuvamia mabenki na yeye kutokomea ughaibuni!
 
Back
Top Bottom