KLM yatambulisha Boeing 777

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
images

Ni usiku wa baridi kali sana , vijana na vikundi mbali mbali vya sanaa viko hapa uwanjani , uwanja umerembwa kidogo katika baadhi ya maeneo haswa yale ya watu kuingilia na sehemu ya wageni maarufu

Watu kwa makundi wanapiga picha na vijana hawa wanaopiga ngoma na kuonyesha sanaa zingine za mtandao , kila mtu anafuraha yake moyoni

furaha hizi hazijaletwa na kingine bali ni ujio wa ndege nyingine toka kwa shirika la ndege la uholanzi aina ya Boeng 777 , ndege hii safari zake ndio zinazinduliwa usiku huu katika uwanja wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere .

Baada ya serikali kuamua kuitupa ATCL kwa Wachina na kusikika tetesi za shirika la ndege la Community kurudi tena hewani KLM wakaamua watuletee vitu vya uhakika na sasa kuna 777 ambayo ndio itaanza safari zake katika ya Tanzania na sehemu zingine za dunia kuanzia usiku wa leo
images
 
Tusije wekewa vitu feki vya kichina kwenye ndege zetu kwa kuwa tunapenda feki...unaweza kuta hata maziwa ya milo feki ya kichina kwenye ndege hiyo.

Kila la heri KLM....Mie na Community yangu dar mpaka mwanza..leo leo....
 
NI USIKU WA BARIDI KALI SANA , VIJANA NA VIKUNDI MBALI MBALI VYA SANAA VIKO HAPA UWANJANI , UWANJA UMEREMBWA KIDOGO KATIKA BAADHI YA MAENEO HASWA YALE YA WATU KUINGILIA NA SEHEMU YA WAGENI MAARUFU

WATU KWA MAKUNDI WANAPIGA PICHA NA VIJANA HAWA WANAOPIGA NGOMA NA KUONYESHA SANAA ZINGINE ZA MTANDAO , KILA MTU ANAFURAHA YAKE MOYONI

FURAHA HIZI HAZIJALETWA NA KINGINE BALI NI UJIO WA NDEGE NYINGINE TOKA KWA SHIRIKA LA NDEGE LA UHOLANZI AINA YA BOENG 777 , NDEGE HII SAFARI ZAKE NDIO ZINAZINDULIWA USIKU HUU KATIKA UWANJA WA KIMATAIFA WA JULIUS KAMBARAGE NYERERE .

BAADA YA SERIKALI KUAMUA KUITUPA ATCL KWA WACHINA NA KUSIKIKA TETESI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA COMMUNITY KURUDI TENA HEWANI KLM WAKAAMUA WATULETEE VITU VYA UHAKIKA NA SASA KUNA 777 AMBAYO NDIO ITAANZA SAFARI ZAKE KATIKA YA TANZANIA NA SEHEMU ZINGINE ZA DUNIA KUANZIA USIKU WA LEO


images


images


Shy una maana KLM route ya Dar wamebadili aircraft badala MD 11 wanaleta Boeing 777?
 
NI USIKU WA BARIDI KALI SANA , VIJANA NA VIKUNDI MBALI MBALI VYA SANAA VIKO HAPA UWANJANI , UWANJA UMEREMBWA KIDOGO KATIKA BAADHI YA MAENEO HASWA YALE YA WATU KUINGILIA NA SEHEMU YA WAGENI MAARUFU

WATU KWA MAKUNDI WANAPIGA PICHA NA VIJANA HAWA WANAOPIGA NGOMA NA KUONYESHA SANAA ZINGINE ZA MTANDAO , KILA MTU ANAFURAHA YAKE MOYONI

FURAHA HIZI HAZIJALETWA NA KINGINE BALI NI UJIO WA NDEGE NYINGINE TOKA KWA SHIRIKA LA NDEGE LA UHOLANZI AINA YA BOENG 777 , NDEGE HII SAFARI ZAKE NDIO ZINAZINDULIWA USIKU HUU KATIKA UWANJA WA KIMATAIFA WA JULIUS KAMBARAGE NYERERE .

BAADA YA SERIKALI KUAMUA KUITUPA ATCL KWA WACHINA NA KUSIKIKA TETESI ZA SHIRIKA LA NDEGE LA COMMUNITY KURUDI TENA HEWANI KLM WAKAAMUA WATULETEE VITU VYA UHAKIKA NA SASA KUNA 777 AMBAYO NDIO ITAANZA SAFARI ZAKE KATIKA YA TANZANIA NA SEHEMU ZINGINE ZA DUNIA KUANZIA USIKU WA LEO


images


images

Mkuu Shy,
Hiki kiswahili "Klm yaambulisha boing 777" kimekuwa kigumu kwangu, hebu kifanye kiwe rahisi zaidi.
Asante.
 
Shy una maana KLM route ya Dar wamebadili aircraft badala MD 11 wanaleta Boeing 777?

Masatu jibu ni ndiyo,

Walisambaza huu ujumbe kwa ma frequent flyers:

Quote:

Fly with KLM on the State-of-the-art Boeing 777-300er
Above the clouds, Relax in style, Unwind in space, Lounge in luxury and make time fly! Come fly with us and enjoy the luxury that our new operation to Tanzania brings with the Boeing B777-300er! Equipped with the latest e-enabled facilities to support the operational management, the B777-300er features new more comfortable seats in both business class and economy offering the most interactive and personal audio/video-on-demand. This aircraft will operate on Fridays and Sundays from Kilimanjaro and Dar es Salaam to Amsterdam every week!


Hope this helps!

Njimba
 
Mkuu Shy,
Hiki kiswahili "Klm yaambulisha boing 777" kimekuwa kigumu kwangu, hebu kifanye kiwe rahisi zaidi.
Asante.

Mkubwa mbona hii inaeleweka tuu labda kama unamengine ni matatizo mambyo kila mwanadamu ambaye sie kamili linatokea.

Naiweka sawa sasa kwa niaba ya Shy: KLM YATAMBULISHA BOEING 777 Amani iwe nawe.
 
Naiweka sawa sasa kwa niaba ya Shy: KLM YATAMBULISHA BOEING 777 Amani iwe nawe.

Una hakika ?

Aliposema KLM yaambulisha angeweza kumaanisha KLM imetupa nafasi kuambulia huduma ya Boeing 777.

Wametupa benefit, opportunity, ama ka nafasi ka kupata huduma ya madege ambayo sisi wenyewe hatumiliki, na hatujawahi kupata hata za wenzetu kutua hapa, kubwa kama 777.
 
Wakuu Kuntakinte na Kuhani,
Tungemuachia Mkuu Shy anyambulishe mwenyewe hili neno maana nanyi 'waalimu wangu wa kiswahili':) mnapingana pia.
 
Masatu jibu ni ndiyo,

Walisambaza huu ujumbe kwa ma frequent flyers:

Quote:

Fly with KLM on the State-of-the-art Boeing 777-300er
Above the clouds, Relax in style, Unwind in space, Lounge in luxury and make time fly! Come fly with us and enjoy the luxury that our new operation to Tanzania brings with the Boeing B777-300er! Equipped with the latest e-enabled facilities to support the operational management, the B777-300er features new more comfortable seats in both business class and economy offering the most interactive and personal audio/video-on-demand. This aircraft will operate on Fridays and Sundays from Kilimanjaro and Dar es Salaam to Amsterdam every week!

Njimba


Njimba,
Huu ujumbe wako ni kweli. Ila ukiingia gazeti la Arusha Times, ujumbe huu ni wa mwaka 2006 yaani zaidi ya miaka miwili iliyopita. Hivyo alichokiandika SHY sidhani kama ni hiki.
Local News
 
Mbona atcl iliponyambulisha airbus yake hatukuja na uzawa kama huu jamani!!!!!!!!!!!!!loh@####
 
I say, I just came back home on that plane. It is one monster of a plane. The captain introduced the fact to the passengers that that particular Boeing 777-300 has been named "Serengeti" by KLM.
Wazungu kama kawaida yao, tena wamama wa Kimarekani waliokuwa nyuma yangu wakaanza kuosha vinywa oh, wanajuaje kama viwanja vya TZ vitaweza kumudu hiyo ndege kubwa, wameshafanya test landing? Na mambo kama hayo
Kusema kweli ni ndege kubwa, takes 425 passengers, was completely full on that day. I disembarked at KIA and where we were met with fireworks and the usual Tanzanian ngoma much to the amusement of the 400 tourists (there were roughly 25 TZanians/ foreigners residing in TZ) and were given some KLM memorabilia.
Ila pia leg room kule kwa walala hoi hamna kabisa I say!!
But big up to KLM, they are really helping bring the tourists in (and taking the flowers out!!)
 
I say, I just came back home on that plane. It is one monster of a plane. The captain introduced the fact to the passengers that that particular Boeing 777-300 has been named "Serengeti" by KLM.
Wazungu kama kawaida yao, tena wamama wa Kimarekani waliokuwa nyuma yangu wakaanza kuosha vinywa oh, wanajuaje kama viwanja vya TZ vitaweza kumudu hiyo ndege kubwa, wameshafanya test landing? Na mambo kama hayo
Kusema kweli ni ndege kubwa, takes 425 passengers, was completely full on that day. I disembarked at KIA where we were met with fireworks and the usual Tanzanian ngoma much to the amusement of the 400 tourists (there were roughly 25 TZanians/ foreigners residing in TZ) and were given some KLM memorabilia.
Ila pia leg room kule kwa walala hoi hamna kabisa I say!!
But big up to KLM, they are really helping bring the tourists in (and taking the flowers out!!)
 
I say, I just came back home on that plane. It is one monster of a plane. The captain introduced the fact to the passengers that that particular Boeing 777-300 has been named "Serengeti" by KLM.
Wazungu kama kawaida yao, tena wamama wa Kimarekani waliokuwa nyuma yangu wakaanza kuosha vinywa oh, wanajuaje kama viwanja vya TZ vitaweza kumudu hiyo ndege kubwa, wameshafanya test landing? Na mambo kama hayo
Kusema kweli ni ndege kubwa, takes 425 passengers, was completely full on that day. I disembarked at KIA where we were met with fireworks and the usual Tanzanian ngoma much to the amusement of the 400 tourists (there were roughly 25 TZanians/ foreigners residing in TZ) and were given some KLM memorabilia.
Ila pia leg room kule kwa walala hoi hamna kabisa I say!!
But big up to KLM, they are really helping bring the tourists in (and taking the flowers out!!)
Nafikiri kama kumbukumbu zangu zipp saww Emirate wamesha wahi kuleta boing777-300ER several times
 
I say, I just came back home on that plane. It is one monster of a plane. The captain introduced the fact to the passengers that that particular Boeing 777-300 has been named "Serengeti" by KLM.
Wazungu kama kawaida yao, tena wamama wa Kimarekani waliokuwa nyuma yangu wakaanza kuosha vinywa oh, wanajuaje kama viwanja vya TZ vitaweza kumudu hiyo ndege kubwa, wameshafanya test landing? Na mambo kama hayo
Kusema kweli ni ndege kubwa, takes 425 passengers, was completely full on that day. I disembarked at KIA where we were met with fireworks and the usual Tanzanian ngoma much to the amusement of the 400 tourists (there were roughly 25 TZanians/ foreigners residing in TZ) and were given some KLM memorabilia.
Ila pia leg room kule kwa walala hoi hamna kabisa I say!!
But big up to KLM, they are really helping bring the tourists in (and taking the flowers out!!)
Aisee wasomi wa Tanzania wanaongoza kwa umbumbu..... Chagua lugha moja ya kutumia... Kama ni Kiswahili ama Kiingereza..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom