Huwez weka hela kwa timu kama hii inayo tegemea magoli ya nyau kupitaAtakaye weka laki 500000 kwa simba kesho atakuwa anakenua asubuhi mpaka jioni..
Kumbe mpo mnafuatilia, nilidhani mpo kwenye mazoezi ya timu yenu mnafuatilia kiwango cha Fiston 😂😂😂nyau anatumia nguvu nyingi akili ndogo
Sema laki 5.Atakaye weka laki 500000 kwa simba kesho atakuwa anakenua asubuhi mpaka jioni..
Unakuwa msahaulifu sana katafute uzi wa yanga vs mtibwa, muanzishaji na wachangiaji walikuwa kina nani mbona hawakuwa mazoezini kujiandaa kwa kipigo cha leoKumbe mpo mnafuatilia, nilidhani mpo kwenye mazoezi ya timu yenu mnafuatilia kiwango cha Fiston 😂😂😂
Hauna dstv now?
Tuko mbali na tvHauna dstv now?
Simba leo ushindi wake ni faulo, kadi na off side hakuna cha ziadaNaiona sare au ushindi mwembamba kwa Simba
..... Vita huko kashachezea goli moja hadi sasa
jitu una maana yule paka amaJitu linakufa kwa mkapa
Hahhaha haya mkuu... Ngoja tuone itakuajesimba leo ushindi wake ni faulo,kadi na off side hakuna cha ziada
Nguvu ya pakaSimba nguvu moja