Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Mkuu ni kweli lkn pia ni vizuri kulipongeza hilo gazeti kwa kuwansuru hao watotommmmmmm...makubwa haya...nimefundishwa kutokusema neno juu ya watumishi wa mungu
Mkuu ni kweli lkn pia ni vizuri kulipongeza hilo gazeti kwa kuwansuru hao watotommmmmmm...makubwa haya...nimefundishwa kutokusema neno juu ya watumishi wa mungu
Kristu ndio niniYesu Kristu aliyajua haya ndio maana katika mitume wake 12, hakuwepo hata mwanamke mmoja.
Msifikiri kwamba enzi hizo wanawake hawakuwepo au Yesu hakuwaona wanawake.
kama Askofu Dr Malasusa anabisha hakuwa na mahusiano ya kingono na Mchungaji Leita Ngowi kiasi cha kumzalisha watoto 3. Basi akubali kwenda kupima DNA muone kama hajaumbuka kama former IGP ..... aliyempa mimba house girl wake halafu akataka kukacha kumtunza mtoto.
aah wapi,hawa maaskofu wana siri nzito,Bwana Mimi nilikuwa Mchungaji kanisani ''ondoka kwangu sikutambui''.
Hakika siku ya Mwisho kutakuwa na'' kilio na kusaga Meno''.
Mkuu kama ni hekaya Mwenyezi Mungu asingetuletea Musa na Manabii.aah wapi,hawa maaskofu wana siri nzito,
wanajua haya mambo ya dini ni hekaya tu,na mbinu ya kutengeza hela,kwahiyo vitendo vyao wanajua havina madhara kwao
Hayo ni maisha binafsi ya huyo mchunga kondoo wa bwana .Kamwe yasihusishwe na kanisa.