KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

Yesu alikuwa akijibu kila hoja,pamoja na kutambua kuwa mafarisayo na makuhani ni wanafiki.

Asipo jibu shutuma zitabaki kuwa kweli,na kama ni za kweli akijaribu kujibu ndio atazidi kujichanganya.

Mimi mluteri ila simtetei mtu yeyote hata kama ni askofu,kumbuka kila mtu na mzigo wake.
Nafahamu hilo, Ila ni mangapi pia Yesu aliyamezea? Unakumbuka habari ya WAACHE WAFU WAZIKE WAFU WAO?
 
Mkuu sikupingi ila mapenzi hayana adabu kabisa so hakuna cha utu uzima wala cheo kikubwa. Mapenzi ni ujinga fulani amazing!!
We unafikiri mtu mkubwa kama mkuu wa Kanisa anao muda wa kujibizana na magazeti ya udaku??
 
Wewe jamaa una busara sana, I real love this
Hata maandiko yanasema kuna watakaowanenea uongo kwa ajili yangu....pia kunyamaza haimaanishi wewe umekosa...inaweza ikawa na hekima kuruhusu ukweli ujiibue wenyewe....sitaki kuhukumu bila kuwa na uhakika...maana hakuna kitu kibaya kama kumhukumu mtu bila kujua...Hata Yesu alipokuwa mbele ya Pilato hakujitetea.....Cha msingi ni kuomba askofu kwa moyo wa hekima ajitokeze atoe kauli ...yawezekana pia bwana anamuongoza kukaa kimya kwani yeye mwenyewe Mungu atauibua ukweli......ila kama ni kweli amefanya dhambi nadhani ni Mungu mwenyewe atamuwajibisha maana Mungu hadhihakiwi.......

Hata Daudi alikuwa chaguo la Mungu lkn alizini na mke wa mtu na akaua lkn bwana akamuadabisha na kumsamehe.....UKWELI UTAJITENGA PEMBENI....tusubiri
 
Nafahamu hilo, Ila ni mangapi pia Yesu aliyamezea? Unakumbuka habari ya WAACHE WAFU WAZIKE WAFU WAO?
Malasusa unayemtetea unamfahamu kiundani hata umtete!&*

Maana hata wanandoa wenye busara akiambiwa mwenzako anatoka nje ya ndoa,hukaa kimya hutafakari na huchukua hatua ya kuchunguza vithibitisho alivyopewa.

Labda nikuulize swali,nitajie habari 2 ambazo mwanahalisi alishawahi kuandika ambazo ni za kutunga?
 
Malasusa unayemtetea unamfahamu kiundani hata umtete!&*

Maana hata wanandoa wenye busara akiambiwa mwenzako anatoka nje ya ndoa,hukaa kimya hutafakari na huchukua hatua ya kuchunguza vithibitisho alivyopewa.

Labda nikuulize swali,nitajie habari 2 ambazo mwanahalisi alishawahi kuandika ambazo ni za kutunga?
Zile za ufisadi wa LOWASSA, ambazo wao wenyewe sasa wanazikanusha!
 
Hakuna uthibitisho wowote kutoka upande wa Pili, Sio Malasusa wa chombo chochote chenye mamlaka ya kutoa haki kilichothibitisha uzushi huu, sio sawa kumhukumu mtumishi huyu kiurahisi hivi, Shetani hawezi kuchukua utukufu hapa!
Sisi yatakikana tuwe katikati hatusemi kuwa yy ni mzinzi wala hatusemi yy sio mzinzi maana mambo haya yanataka ushaidi wa hali ya juu Ila tunasema kwahili lililotokea hatukopamoja na Askofu ss tunaangalia haki ilipo!!!!
 
Mwanahalisi mnajishushia hadhi sana.
Manake kinachoshangaza ni ukubwa wa tuhuma, tuhuma kumlenga kiongozi mkubwa kiroho halafu ni mwanahalisi pekee ndio linaipata habari hii, yaani hakuna hata taarifa hii kwenye mitandao ya kijamii zaidi ya hii inayonukuliwa kutoka mwanahalisi, ina maana pale muhimbili hakunaga mwana jf aone kisanga hiki na kukipakua live mkekani??!

Huko sijui uhamiaji na kwingineko wanatumiaga vimchina tu jamani!!!!!!

Inaweza kuwa kweli, lakini kwa sasa inamkanganyiko kuiamini.
 
Kama kahusika hamna haja ya kumsafisha, a deal na Mungu wake, hatutak viongozi wa dini wanafiki wanaopreach vitu wasivyofanya
 
Hatimae watoto wameludi kumbe ni kweli basi.
Ushauri achana na mama yao you knever you labda anapata vitu nadra
 
Mungu ndio anayejua. Lakini na amin kuwa MWANAHALISI wanatafuta kick tu makanisani. Naona wameshindwa kuandika siasa. Mie ninachojua askofu hafanyi jambo bila kuwa na kamati au watendaji wake wa karibu. Hapa naona watu wanatengeneza chuki ndani ya kanisa. KWA TAARIFA YENU KAMA MME/WAMETUMWA wambieni hao watu walio watuma kuwa wameshindwa na CHUKI zao
 
Dayosisi ya Mashariki na Pwani wenyewe Wazaramo, Wakutu, Wakwere na Wazigua wanaitaka. Sasa hivi imekuwa ya Wachagga na Wanyakyusa. Malasusa ni kikwazo kikubwa kwa Wazaramo kufikia lengo. Kwa style ile ile ya **** Kapuya na Tanzania Daima, shughuli imehamia kwa Malasusa. George Fupe na kundi lake wanajitahidi...
Jamani kama shida ndo hiyo si waseme tu. Wemgine tuende makanisani huko mbeya na wa moshi na arusha na sisi tukasali makwetu tuwaachie kanisa lao
 
SOMA 1TIMOTHEO SURA 1-3 Yapo majibu ya anguko la mtumishi wa Mungu.
 
Mwanahalisi mnajishushia hadhi sana.
Leo yamekua hayo kamanda? Lilipofungiwa na serikali mlitoa mipovu,leo limepiga ngome ya kaskazini mnalaumu
Kubenea mlimpa sana promo kwa uongo dhidi ya zitto na baadae Dr Slaa
Leo kawageuka,atarudi tu kwa lowassa,kwa sababu lowassa na malasusa mi kama uji na mgonjwa
Ukicheza sana na mbwa mwishowe utaingia nae msikitini
 
Huu upuuzi wa Mwana Halisi utafikia kikomo lini, naona mleta mada wa awali kaamua kubadili ID kabisa...

Mkuu umesoma vizuri? Mwanahalisi imesaidia sana kwani baada ya story kuanikwa kesi zote za kubambikiwa zimefutwa na watoto wamerudishwa..huu ni ushindi
 
Watu bwana wanagegedana hadi madhabahuni
 
Una ushahidi au Porojo tu za akina KUBENEA na wenzie!

Kubebea alimpaka matope Lowasa baadae huyohuyo akaja kutaka kutuaminisha kwa fisadi Lowasa ni msafi.. ki ukweli Kubebea ni mtu wa kupuuzwa
 
Leo yamekua hayo kamanda? Lilipofungiwa na serikali mlitoa mipovu,leo limepiga ngome ya kaskazini mnalaumu
Kubenea mlimpa sana promo kwa uongo dhidi ya zitto na baadae Dr Slaa
Leo kawageuka,atarudi tu kwa lowassa,kwa sababu lowassa na malasusa mi kama uji na mgonjwa
Ukicheza sana na mbwa mwishowe utaingia nae msikitini

Mkuu hawa jamaa ndivyo walivyo ni wanafiki na vigeugeu..ndio hulka yao
 
Back
Top Bottom