KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

Nape fungia hili gazeti la kimbeya.. Mwanahalisi wamepigwa bao na Jamuhuli
*****
JAMII HAIWEZI KUKEBEI GAZETE KUKUBALI AU KUKATAA / WHATS IS NEEDED IS A FACTS JUU YA HABARI HIZI!,JAMII HAIWEZI KULIELEWA SUALA HII NA KULIKUBALI KWA KUFUNGA MACHO.
 
NASHANGAAA.KWA NINI HUYU BABA WATOTO HAMBANI MKEWE AMBAYE SIO MTOTO MDOGO LAKINI ANAMTUPIA LAWAMA ASKOFU.KAMA MKEWE ANAPENDA WATOTO WAKASOME ULAYA WAYAMALIZE WENYEWE
 
Gwajima wawatu alisemwa wee lakini hawakupinga.Leo zamu ya Malasusa watu mnatetea.Hiyo kitu hufanywa sirini ila kwa dalili hizo Mungu kaamua kumtapika.
 
Gwajima wawatu alisemwa wee lakini hawakupinga.Leo zamu ya Malasusa watu mnatetea.Hiyo kitu hufanywa sirini ila kwa dalili hizo Mungu kaamua kumtapika.
 
Wewe ndio mpuuzi mwili mzima; kwani unamkingia kifua muhuni; mgoni eti mtumishi wa Mungu anayeshiriki kuvunja taasisi takatifu ya ndoa! Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu!
Kama Malasusa ni msafi ajitokeze hadharani akanushe taarifa hizi yeye
mwenyewe au kama ni taarifa za kizushi akafungue mashtaka; tumechoka na mitumishi mifirahuni inayojificha nyuma ya jina la kanisa! Malasusa come clean; kunyamaza kwako kunalidhalilisha kanisa la Mungu!

MTK;
Mkuu, nimeumia sana kukusoma maneno yako haya ya kebehi; "eti mtumishi wa Mungu" na "tumechoka na mitumishi mifirauni....". Kwanza niseme, Askofu Malasusa si Askofu wangu wala hatakaa awe. Lakini, ni mtumishi wa Mungu aliye hai. Mungu ndiye aliyemwita sio watu. Uchungaji si kazi ya kuomba ajira bali ni wito. Kama Mungu aliye hai, mwenye kuogofisha hakumpiga alipokuwa anafanya maovu hayo, mimi ni nani hata nimdharau au niudharau utumishi wake? Acha Mungu amshughulikie. Sio kwamba Mungu hamuwezi au anamuogopa, HAPANA. Mungu wetu ni mvumilivu sana. Anataka toba si maangamizo.
Kwa ufupi; Kama kweli amefanya hivyo, Askofu, atubu haraka. Jina la Bwana halitatukanwa kwa ajili yake. Mungu wa Wakristo hahitaji msaada wowote. Atajitetea mwenyewe wala usimtetee
 
Kila jambo lina mwanzo na mwisho wakeee... yangu macho na masikio. Amina
 
kwani yy askofu ni mtu wa ajabu sana mpaka asituhumiwe? km ametenda jambo hilo hata yy mwenyewe nafsini mwake anajua amemuudhi mola pia, coz ni kiongozi mkuu wa kanisa....mbona tulishuhudia mapadre wakijitangaza wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja wengine kunajisi watoto...kwann wanyonge waonewe then wakipata wa kuwatetea twalaumu kwann wanatetewa?
 
Big up mwanahalisi
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Pamoja na kuruhusiwa kuoa lakini bado anazini na mke was muumini.
Haya mambo kama ni ya ukweli yawekwe wazi. Watu wengine wasimsemee. Aje yeye aseme. Hii ni aibu kubwa hata kwa kanisa siyo tu KKT, Bali kanisa lolote...
Hatua stahiki zichukuliwe.
Inaumiza sana, uchungu was kuchukuliwa mke... Waumini wanachangishwa michango mingi kanisani halafu hii iwe sehemu ya matumizi yake: kuhonga wake za watu. Anakula michango ya waumini(zaka) pamoja na wake Zao.
Historia inajirudia; Daudi pia alichukua mke raia wake na hata kumuua mwenye mke. Shame on him...
 
Big up mwanahalisi
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Pamoja na kuruhusiwa kuoa lakini bado anazini na mke was muumini.
Haya mambo kama ni ya ukweli yawekwe wazi. Watu wengine wasimsemee. Aje yeye aseme. Hii ni aibu kubwa hata kwa kanisa siyo tu KKT, Bali kanisa lolote...
Hatua stahiki zichukuliwe.
Inaumiza sana, uchungu was kuchukuliwa mke... Waumini wanachangishwa michango mingi kanisani halafu hii iwe sehemu ya matumizi yake: kuhonga wake za watu. Anakula michango ya waumini(zaka) pamoja na wake Zao.
Historia inajirudia; Daudi pia alichukua mke raia wake na hata kumuua mwenye mke. Shame on him...
Kuna watu wanapenda sana kushadadia habari za viongozi wa dini, kazi kuchukua mawe na kuwarushia. Sijui vichwani mwao wanaona kama kiongozi ni mchafu basi inawapa faraja kwamba wao sio wachafu pekeyao afadhali na askofu yumo na kujitia kupiga mikelele. Mwanaume/mwanamke mwenye adabu hajengi nyumba yake kwenye vyombo vya habari na hasa ukizingatia wana watoto pia. Kama ni kweli si kuna sheria za ugoni angeenda huko mahakamani akiwa na ushahidi. Askofu aitwe ajibu mashtaka. Hapa ni mihemko tu. Sasa hata huyo mkewe atarudi nyumbani kwake kwa kumdhalilisha hivi? kweli mwanamme mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa Jazba na mihemko yake
 
Haziwezi kuwa porojo na kwa ubaya wa hizo porojo,mtumishi wa kiroho akakaa kimya kiasi cha kutiliwa shaka kubwa.
Porojo hizi zina chembe chembe za ukweli ndani yake na ndiyo maana mchunga kondoo amekubali kuwa kimya ahukumiwe kwa namna yoyote ili YAISHE(YESHEEE)

Mke wa potfa alijibuwaje ne Mfame alipokalamikiwa? Yanjwamba hajustahiki kulalamikiwa jwa Kuwa heshimsnyake imenajisiwa hata Kwa kuwaziwa. Walnut heir wasijaribu kumsaidia Mungu kazi, was he Mungu site Mungu, Mimi siamini kama Kanisa lime toad waraka huu itakua ni kikundi Fulani cha wala be wake. Kanisa hili haliishii masariki Na Pwani, ni la Tanzania Nima, unataka kunipa bias waraka huu unakibali cha madokta wa kweli kina Munga, mwakabana, Mchungaji wa Mungu mastahi, etc wapakwa Mafuta wa Mungu? Wakristo wamekua makapi hawalijui neno, hawana tofauti Na wapagani, wamekua ha kumtetea kristonaliye hai wanahangaika. Hapa Shida sio Usafi wa Mkuu ni jinsijambo hili lilivyoleta confusion

KKKT ni Dawa Na bahari kila Mtu anavua anavyitaka
Kwa walutheri wengi watakaoacha Kanisa Kwa kuamuni au kutokujua au kujua ukweli. Na Ndio maana walutheri ni wepesi mno kuhama makanisa, Kwa Kuwa matendo ya namna hii hayatafutiwi Dawa. Makanisa yote map ya ya ayoitwa yakiroho yana way mini wengi toka huko kulijenga kwingine kite. Na ole wake atajayesababisha ksnias la Mungu kuanguka ole ole Kwa maana kuna roho xitakazopotea sababu ya Sakaya hili zikiwemo sole sa familia ya venance, nikiamni ni watu hai Na halisia, Makalamba wapo hata kwenye bib ilia wakina rahabu, lakini walipomgeukia Mungu walipata rehema. Ndugu zangu, Kanisa haliwezi kuepuka katika kashfa hii Kwa kudai Kuwa ni maishani binafsi, ukishakubali Kuwa Kiongozi huna Tena private life, lazima uishi katika Musingi inayokubalika. Kazi ya kulijenga Kanisa ni ya wote, tukemee Kwa nguvu zote ili tusije kuulizwa tulikua wapi wakati haya yanatokea.

Mkuu wajimbo anawajibu wa kufanya ili kumtetea kristo
Hii ni kashfa bila Kujali Nafasi ya mtu. Mhusika anawajibu wa kuliambia kanisa ukweli, Kanisa linyamaze ili Liam uwe ukweli, Kama anajidhihirisha mbele ya Mungu Kuwa kaonewa, basi ajiuzulu ili kutu a hiyo message. Kukaa kimya eti akimuachia Mungu hakulisaidii Kanisa lililokwishalaumiwa kutaka kunsafisha, passport hivyo kanisa litaendelea kupoteza washirika huku dayosisi ikiendelea kupoteza nguvu Yake kiuchumi Na kuendesha kubebwa Na sad aka Za Kimara. Mungu Bairiki Maneno yangu takao ate kimball mbele zako,
 
Mimi sitahama kanisa kwa kuwa ninamwamini MUNGU siyo Malasusa;
Kweli askofu mkuu wa KKKT alikuwa Dr. Stephano Ruben Moshi (R.I.P. baba).
 
Mungu awasemehee wote mnaonyooshea kanisa kidole kwa kashfa msizokuwa na uhakika nazo, pia roho mwovu shetani zishindwe kwenye izo bongo zenu ndogo wale wote mnaotoa matusi kuhusu viongozi waliochaguliwa wa kanisa
 
MTK;
Mkuu, nimeumia sana kukusoma maneno yako haya ya kebehi; "eti mtumishi wa Mungu" na "tumechoka na mitumishi mifirauni....". Kwanza niseme, Askofu Malasusa si Askofu wangu wala hatakaa awe. Lakini, ni mtumishi wa Mungu aliye hai. Mungu ndiye aliyemwita sio watu. Uchungaji si kazi ya kuomba ajira bali ni wito. Kama Mungu aliye hai, mwenye kuogofisha hakumpiga alipokuwa anafanya maovu hayo, mimi ni nani hata nimdharau au niudharau utumishi wake? Acha Mungu amshughulikie. Sio kwamba Mungu hamuwezi au anamuogopa, HAPANA. Mungu wetu ni mvumilivu sana. Anataka toba si maangamizo.
Kwa ufupi; Kama kweli amefanya hivyo, Askofu, atubu haraka. Jina la Bwana halitatukanwa kwa ajili yake. Mungu wa Wakristo hahitaji msaada wowote. Atajitetea mwenyewe wala usimtetee

Mkuu nimeina like niliyokupa kama haijatoshaa, umenena vema sana kwa huyo aliyemtukana mtumishi wa Mungu, watukane wengine woteee hata ukiwaita MABWEGE ila siyo mtumishi wa Mungu adhabu yake ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom