G bznes
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 1,432
- 2,976
MTK;
Mkuu, nimeumia sana kukusoma maneno yako haya ya kebehi; "eti mtumishi wa Mungu" na "tumechoka na mitumishi mifirauni....". Kwanza niseme, Askofu Malasusa si Askofu wangu wala hatakaa awe. Lakini, ni mtumishi wa Mungu aliye hai. Mungu ndiye aliyemwita sio watu. Uchungaji si kazi ya kuomba ajira bali ni wito. Kama Mungu aliye hai, mwenye kuogofisha hakumpiga alipokuwa anafanya maovu hayo, mimi ni nani hata nimdharau au niudharau utumishi wake? Acha Mungu amshughulikie. Sio kwamba Mungu hamuwezi au anamuogopa, HAPANA. Mungu wetu ni mvumilivu sana. Anataka toba si maangamizo.
Kwa ufupi; Kama kweli amefanya hivyo, Askofu, atubu haraka. Jina la Bwana halitatukanwa kwa ajili yake. Mungu wa Wakristo hahitaji msaada wowote. Atajitetea mwenyewe wala usimtetee
Mkuu nimeina like niliyokupa kama haijatoshaa, umenena vema sana kwa huyo aliyemtukana mtumishi wa Mungu, watukane wengine woteee hata ukiwaita MABWEGE ila siyo mtumishi wa Mungu adhabu yake ni mbaya sana