mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Picha: Askofu Mwaikali
Lile kanisa lililo bomoka vipande vipande, dayosisi la konde limeendelea kumuandama Askofu Mwaikali aliyejitenga na kanisa hilo mwaka jana.
Baada ya kuwanyang'anya wafuasi wa mwaikali magari, makanisa sasa ni vita mpya ya kuwanyang'anya kila walichobakiwa nacho warutheli hao walio jitenga.
Wito wangu kwa KKKT,
Endelezeni injili vita ni vya Bwana. Nunueni vya kwenu kwani hamna hela? Mbona kila siku nyie tuu mnawachokoza wenzenu