masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Nimepata tetesi kuwa katika Mkutano Mkuu wa Dayosisi ya Konde KKKT, ulioitishwa na Mkuu wa Kanisa, leo 22/03/2022, aliyekuwa Askofu wa Dayosisi ya Konde Dr. Edward Mwaikali , amevuliwa Uaskofu.
====
Mkutano mkuu wa Kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde umemuondoa madarakani aliyekuwa askofu wa Dayosisi hiyo Dr Edward Mwaikali pamoja na wakuu wa majimbo takribani watatu waliokuwa wakimuunga mkono na muda huu uchaguzi wa askofu mpya unafanyika .
Matokeo ya Awali;
Askofu mpya :Mwakihaba
Msaidizi Askofu: Mch Njinga
Dr Edward Mwaikali kavuliwa uaskofu
Mwambola kavuliwa uchungaji na ukuu wa Jimbo.
Kajela kavuliwa uchungaji
Mwakanyamale kavuliwa uchungaji
Clip ya mambo yalivyokiwa toka Busokelo Tv: