Zakamwamoba
Senior Member
- Jul 28, 2016
- 177
- 609
- Thread starter
- #41
Hiyo kawaida sana inategemea na mishe zako,Kuna mishe mtu inatakiwa uwahi afu ndo inakuingizia pesa so unaanza na usafir ili usave time kipato kiongozeke upate hela ya kujenga. Ila kama hela yako kupata kwa mwaka mara moja lazima utaanza kujenga.kumbe maisha yanenda poa kuanza kumiliki gari then mjengo