Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,591
tuna kambi ya jeshi and they are well trained hapo kigamboni
things will be alright
Mungu awalinde
Hivi hili nalo linahitaji msaada wa jeshi? Zile tag pale bandarini zina kazi gani?
tuna kambi ya jeshi and they are well trained hapo kigamboni
things will be alright
Mungu awalinde
Katikati ya bahari mnakujua !? Acheni ulongo
mi ndo usiseme natamani kulala huku posta! tena ukizingatia issue za maji mikoani hatujazizoea!dah sijui nakwendaje nyumbani leo oh my dear good god
Asante kwa taharifa. Huku mafia tupo tayari kupokea wa ufukweni watakao letwa ma maji.
kivuko kimesimama watu tuko salama tunashukuru kwa duwa zenu
Kivuko kuelea si ndio inatakiwa kiwe hivyo? Kikizama ndio inapaswa kuwa habari.
juhudi za kukikwamua zinaendelea.
![]()
Asante kwa taharifa. Huku mafia tupo tayari kupokea wa ufukweni watakao letwa ma maji.