Sasa ndio wataona umuhimu wa kile kilichosemwa na Magufuli ca KUPIGA MBIZI, kama huwezi haya...
Katika hali isiyo ya kawaida leo alasiri saa kumi kasoro kivuko cha MV Kigamboni kimezima katikati ya maji wakati kikielekea kigamboni kikiwa kimejaa abiria na magari.
mpaka sasa bado abiria wapo ndani ya kivuko na jitihada za uokoaji zinaendelea. Hakuna kifo kilichoripotiwa
source; ITV & radio one
Breaking News ITV
Mv magogoni imekwama katikati ya bahari ikiwa na abiria wengi pamoja na mizingo na magari
Utaratibu wa kuokoa watu na kuiwasha unaendelea
Sala zako zinahitajika ndugu Mtanzania