Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,206
- 1,029
Kiswahili kigumu sana jamani, every day I make much practice kujifunza. Taharifa means taarifa, sawa?
Asandeeeeeee (in hehe voice) nadhani umeeleweka
Kiswahili kigumu sana jamani, every day I make much practice kujifunza. Taharifa means taarifa, sawa?
Asante kwa taharifa. Huku mafia tupo tayari kupokea wa ufukweni watakao letwa ma maji.
sio sawa,hayo maneno hayafananiKiswahili kigumu sana jamani, every day I make much practice kujifunza. Taharifa means taarifa, sawa?
Hizo hela wanazokusanya kila siku mbona hawazitumii kufanya marekebisho ya hzo pantoni??! Tanzania bwana!!!
Hivi hili nalo linahitaji msaada wa jeshi? Zile tag pale bandarini zina kazi gani?
Kwa hiyo injini ikiwaka kitazama au?Abiria wako wamevaa maboya na kivuko kinaelekea kwenye boti za kwenda zanzibar.
Abiria wengine wamekosa maboya na hali ya wasiwasi imetanda
jambo la makini ukileta upuuzi kwa kutania ipo siku itakuja kwako na ndo mwsho utakapo kuwa,hawakupenda hali hyo hao watu ila ww unahisi unamkataba na mungu na unajua kila litokealo mbele yakoAsante kwa taharifa. Huku mafia tupo tayari kupokea wa ufukweni watakao letwa ma maji.
Kwa nini wasinunue kivuko kipya? Uhuni mtupu
dh huwa nikifika pale nasali baba yetu mara kumi