Kivuko cha MV Magogoni chaelea baada ya injini kuzima

tayari miaka mi 5 imeshapita TEMESA hawana budikukifanyia marekebisho kwa mujibu wa mikataba ya kimataifa,SOLAS 74 .
 
Maasi yamezidi.... Pembe za Ndovu ni nzito sana haya ndio matokeo yake
 
Asante kwa taharifa. Huku mafia tupo tayari kupokea wa ufukweni watakao letwa ma maji.
jambo la makini ukileta upuuzi kwa kutania ipo siku itakuja kwako na ndo mwsho utakapo kuwa,hawakupenda hali hyo hao watu ila ww unahisi unamkataba na mungu na unajua kila litokealo mbele yako
 
Back
Top Bottom