NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
Yesu wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mimi nilivyoitazama nimejisikia niko uchi.
Ni kweli uko uchi vaa nguo haraka mimi nilihisi umejihisi uko uchi kumbe umejisikia.???/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mimi nilivyoitazama nimejisikia niko uchi.
Halafu huyu Maunda si alikuwa na mimba? Keshajifungua tayari?
Mi nadhani hakuna ubaya saaaaana ila labda amekivaa sehemu isiyo, angekuja mtu kavaa swimming costume ingekuwa hatari zaidi au?Sasa hapo naona kama ni harusini watoto, wazee(wenye heshima kibao) doo inabidi wa namna hiyo waaangalie chini kila akipita ingawa naona kama kinafunga mbele?*?
Yesu wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mimi nilivyoitazama nimejisikia niko uchi.
...Mh! Na hiyo milonjo vipi?? ukikutana nae gizani night kubwa lazima ule chocho!!
Was she in a strip club or what...????
They ain't no strip club in Tanzania....
Kuna mdam flani hivi humu alisema Maunda ni mjamzito.
Mbona hana dalili au ndo alichoropoa?