screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,803
- 15,715
Sifa za marehemuKanumba alikuwa super star kuliko wasanii wa sanaa zote hapa nchini kama maigizo, mpira, muziki n.k.
Enzi za uhai wake alikuwa ni kipenzi cha wanawake na watoto wote na hakuwa na mpinzani na hana mpinzani hadi sasa.