Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Nimekaa mwanza , Geita, shinyanga na Simiyu,kule bariadi na Maswa, hakuna mikoa yenye watu masikini kama hii. Hadi huruma jamani.
yaliyomoyamo hawa watu ni masikini wakutupwa yaani ni mafukara hadi basi.

Nimekaa sana mwanza na shinyanga pale kuzumbi, ibinzamata, ndala, buligalila, ngokolo , tinde mpaka kahama na kakola

Kote huko kuna umasikini wakutisha, kuna sehemu unapita na gari hadi unajiuliza huku nako ni Tanzania?! Au Tanganyika?!

Masikini hadi wanakuwa waoga sana.
 
Wewe nawe umetokea wapi ? Ni lini kanda ya ziwa walikuja kuomba chakula Kilamnjaro ?ninyi ndio njaa tupu kutwa kuzurura kwenye mikoa iliyobarikiwa.
Nimekaa mwanza , Geita, shinyanga na Simiyu,kule bariadi na Maswa, hakuna mikoa yenye watu masikini kama hii. Hadi huruma jamani.
 
yaliyomoyamo hawa watu ni masikini wakutupwa yaani ni mafukara hadi basi.

Nimekaa sana mwanza na shinyanga pale kuzumbi, ibinzamata, ndala, buligalila, ngokolo , tinde mpaka kahama na kakola

Kote huko kuna umasikini wakutisha, kuna sehemu unapita na gari hadi unajiuliza huku nako ni Tanzania?! Au Tanganyika?!

Masikini hadi wanakuwa waoga sana.
Umeona eeh. Sasa wakija huku mjini wanajifanya wanakataa kwao. Wanatia huruma sana
 
Wewe nawe umetokea wapi ? Ni lini kanda ya ziwa walikuja kuomba chakula Kilamnjaro ?ninyi ndio njaa tupu kutwa kuzurura kwenye mikoa iliyobarikiwa.
Mimi. Sio mchagga wala sitoki Kilimanjaro kaka, lakini mwanza ,shinyanga na simiyu nimekaa sana tena sana watu wakule ni masikini mno nawajua fika kaka. Hapa tuseme ukweli.msemakweli ni mpenzi was Mungu.be real
 
Mimi. Sio mchagga wala sitoki Kilimanjaro kaka, lakini mwanza ,shinyanga na simiyu nimekaa sana tena sana watu wakule ni masikini mno nawajua fika kaka. Hapa tuseme ukweli.msemakweli ni mpenzi was Mungu.be real
Bora wewe dada yaliyomoyamo umefunguka na kuamua kusema ukweli. Hakuna mtanzania hasiyejua jinsi wasukuma wanavyonuka umasikini. Mwenye akili timamu hawezi kulinganisha hali za maisha za wachagga na wasukuma it's absolutely nonsense!
 
Acha hasira za kujinga kwenye kuadress mambo...Huwezi fikia CV ya Kimei hata iweje dogo.
Kila sehem ina shida zake moshi shida yake ni ardhi
Kwa nini wawe na shida ya ardhi? Hii ina maana kihistoria walishindwa kunyang'anya ardhi kutoka kwa makabila yanayowazunguka, hivyo basi hawakuwa strong.
 
Kwa nini wawe na shida ya ardhi? Hii ina maana kihistoria walishindwa kunyang'anya ardhi kutoka kwa makabila yanayowazunguka, hivyo basi hawakuwa strong.
Ungejua historia ya wachagga walitoka wapi mpaka wakafika pale Kilimanjaro na walipigana na makabila mangapi mpaka wakaiteka ardhi yote inayozunguka mlima Kilimanjaro usinge ropoka ovyo!

Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni pamoja na eneo la mji wa arusha, mji wa arusha ulikuja kutengwa na kugawanywa na baba wa taifa mwl Julius nyerere akaunda mkoa mpya wa arusha pamoja na wilaya za monduli na manyara ya sasa.

Kiasili wameru ni wachagga, na ilikuwa sehemu ya mkoa wa Kilimanjaro, wameru na wachagga wa machame wanasikilizana, nenda kajifunze historian kuhusu kumegwa kwa mji wa arusha.

Kuhusu uhaba wa ardhi, wachagga walivamia Kilimanjaro na kuteka eneo LENYE RUTUBA KUZUNGUKA MLIMA KILIMANJARO. hawakuwa na haja na maeneo mengine makame kama ya upareni, wao walitaka maeneo yenye RUTUBA TU kwaajili ya kilimo na ufugaji, na eneo hili lenye rutuba ni kuzunguka mlima Kilimanjaro tu, waliishi hapo kwakufanya shughuli za kilimo na ufugaji.

Kwa wakati ule idadi yao na mashamba yao yaliwatosha sana, mpaka serikali ilipokuja na kuanzishahifadhi ya wanyama ya mlima kilimanjaro (Kilimanjaro national park) KINAPA ambayo ilizuia wachagga kuendelea kufyeka msitu unaozunguka mlima Kilimanjaro ili kujipatia mashamba na adhi yenye rutuba.

For Your Information;
Kinachotakiwa na wachagga sio ardhi tu, bali ni ardhi yenye rutuba! Kilimanjaro kuna ardhi tele ya kuishi lakini wanachotaka wao ni ardhi yenye rutuba! Na kuomba ardhi sio dhambi.kumbuka pia wako wachagga wengi tu wenye mashamba makubwa morogoro, mbeya, iringa,tanga na pwani, sasa sio wrote wenye access ya kujua wapi ilipo ardhi bora ndio maana wakatoa maombi yao na sio kosa kisheria.
 
Wamasai ni jamii zinazo hama hama kufuata malisho ya mifugo yao , same thing na baadhi ya wasukuma , wachaga hawana tabia hiyo
Malisho yapo kwenye nini? Wasukuma wamejaa chunya,katavi,kigoma wanafuga na kulima.Nyie wachaga mnataka kul
pata ardhi kisomi? Makabila yote ya Tanzania asili yao ni kuhama hama.Wamasai tu na wajaluo ndio wana asili ya kuishi bonde la lift valey, wabantu tulihamia kutoka west Africa kwa hio hata wachaga walihamia .
 
Ungejua historia ya wachagga walitoka wapi mpaka wakafika pale Kilimanjaro na walipigana na makabila mangapi mpaka wakaiteka ardhi yote inayozunguka mlima Kilimanjaro usinge ropoka ovyo!
Kwa nini hawakupigana wapate ardhi kubwa? Kama wachaga wamekosa ardhi kubwa huwezi nishawishi kuwa walikuwa imara kuliko wamasai, mchaga angeweza kunyang'anya ardhi ya masai au mang'ati acha utani.
 
Kwa nini hawakupigana wapate ardhi kubwa? Kama wachaga wamekosa ardhi kubwa huwezi nishawishi kuwa walikuwa imara kuliko wamasai, mchaga angeweza kunyang'anya ardhi ya masai au mang'ati acha utani.
NILISHAKUJIBU HAPA ;

Mkoa wa Kilimanjaro ulikuwa ni pamoja na eneo la mji wa arusha, mji wa arusha ulikuja kutengwa na kugawanywa na baba wa taifa mwl Julius nyerere akaunda mkoa mpya wa arusha pamoja na wilaya za monduli na manyara ya sasa.

Kiasili wameru ni wachagga, na ilikuwa sehemu ya mkoa wa Kilimanjaro, wameru na wachagga wa machame wanasikilizana, nenda kajifunze historian kuhusu kumegwa kwa mji wa arusha.

Kuhusu uhaba wa ardhi, wachagga walivamia Kilimanjaro na kuteka eneo LENYE RUTUBA KUZUNGUKA MLIMA KILIMANJARO. hawakuwa na haja na maeneo mengine makame kama ya upareni, wao walitaka maeneo yenye RUTUBA TU kwaajili ya kilimo na ufugaji, na eneo hili lenye rutuba ni kuzunguka mlima Kilimanjaro tu, waliishi hapo kwakufanya shughuli za kilimo na ufugaji.

Kwa wakati ule idadi yao na mashamba yao yaliwatosha sana, mpaka serikali ilipokuja na kuanzishahifadhi ya wanyama ya mlima kilimanjaro (Kilimanjaro national park) KINAPA ambayo ilizuia wachagga kuendelea kufyeka msitu unaozunguka mlima Kilimanjaro ili kujipatia mashamba na adhi yenye rutuba.

For Your Information;
Kinachotakiwa na wachagga sio ardhi tu, bali ni ardhi yenye rutuba! Kilimanjaro kuna ardhi tele ya kuishi lakini wanachotaka wao ni ardhi yenye rutuba! Na kuomba ardhi sio dhambi.kumbuka pia wako wachagga wengi tu wenye mashamba makubwa morogoro, mbeya, iringa,tanga na pwani, sasa sio wrote wenye access ya kujua wapi ilipo ardhi bora ndio maana wakatoa maombi yao na sio kosa kisheria.
 
Mi siyo mchaga, lakini mahali popote mchaga alipotua kutokana na uchakalikaj8 mabadiliko yalionekana.
Mikoa mingi imechangamshwa na wachaga hiyo ni asili yao. Hivyo tusiwe wabaguzi na tukisinzia wacha tuamshwe.
Labda wamekuamsha wewe mkuu na kabila lako, sisi waha na wamanyema wa kigoma hatukuamshwa na wachaga na ndio maana babu zeti waliweza kumiliki ardhi kariako na miji mikubwa mingi leo hii tunakula kodi kwa ujanja wa babu zetu kujenga mijini.
Kuna bibi yangu aliuza nyumba kariaKoo milioni mia tano akaenda kununua pembezoni heka za kutosha nazo kauza sana viwanja.Usijumlishe makabila yote, kuna makabila yalishajanjaruka kitambo waha waliwatoa kwenye reli wachaga mikoa ya kanda ya ziwa miaka ya 90 sijui kwa sasa nilihamaga huo ukanda.
 
Bahati nzuri afadhali hiyo tamaduni kwetu ilikuwa salama. Hakuna upuuzi kama kule kwenu.

Kule kanda ya ziwa huwa mnatumwa na waganga mtembee na mamazenu ili mpate utajiri, mnalaana nyie watu ndio maana hamuendelei asilani mnabaki kulialia na kuona wivu wa kijinga.

Achana na tabia zile za kuua wazazi wenu kwa imani za uchawi. Mapanga shaa yalianzia kanda ya ziwa(kuna watu maalumu mnawakodi ili wakawaue ndugu zenu), achana na mauaji ya maalbino , kufukua makaburi yao, kuwakata viungo vyao kwa imani zenu mbovu za kichawi alafu wanakuja huku moshi Kcmc kutengenezewa viungo vya bandia. Nyie watu mna laana sana aisee daaah! hata hiyo ardhi yenu imejaa laana ya damu ya wazazi wenu na maalbino achana na laana na mikosi ya kutoa kafara na kuchukua ndugu zenu misikule imitunga.
Hivi mkuu wachaga hawakuwa majambazi kweli miaka ya 90 au nimesahau.Mali zenu sio za kumwaga damu na kudhulumu watu, wachaga walikuwa hadi wanauana wenyewe kwa wenyewe kwa kudhulumiana pesa au nimesahau!
 
kuna wengine walipelekwa Sumbawanga wakati wa awamu ya kwanza
Ni kweli kabisa, nimewakuta sehemu inaitwa Mwese, wilaya ya Tanganyika, mkoa wa Katavi. Hapo Mwese (ni kata) kinaitwa uchagani, wamepiga mgomba balaaa na pako vizuri sana. Pia ukienda Turiani vijiji vya Dihinda na Kanga utawakuta kibao, hasa hapo Kanga.
 
Back
Top Bottom