Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Njooni niwalishe wote mkeo na mama yako pia maana nasikia huko kwenu usukumani kuna njaa sana na umaskini wa kutisha, kiasi kwamba ukioa huko mke ukamchukua akaja kukaa kwako huku mjini (Dar,Arusha,Moshi n.k) anahamia mazima na mamayake pamoja dada zake wote!

Kuna binam yangu anafanyakazi bandari Dar, kaoa mke huko kwenu bariadi, sasa nduguze mkewe wamehamia ukoo mzima pale kwake, sasa hivi anatafuna wote mke, mamamkwe na Dada zake wawili, mkewe akienda Zanzibar kupeleka biashara aliyompa mtaji, huku nyuma mama mkwe anageuka mke dogo, anasema hana tabu kabisa maana akimpa bia tu tayari, na amesha tafuna mpaka Dada za mkewe kwa kuwaahidi kuwatafutia kazi hotelini,

Nyie watu sijui mkoje hamna hata maadili alafu wepesi sana Kama Karatasi ya chooni (tissue papers). Au ndo kusema mnahuruma sana au mnaendekeza dhiki na njaa?! Mnakubalije kuliwa familia nzima na mtu mmoja huku mkijua wajameni?!
Vipi ile tamaduni ya kuacha mke milimani na kwenda Dar au kwingineko kufanya kazi, je wakwe zao wa kiume waliwaacha salama?
 
Vipi ile tamaduni ya kuacha mke milimani na kwenda Dar au kwingineko kufanya kazi, je wakwe zao wa kiume waliwaacha salama?
Bahati nzuri afadhali hiyo tamaduni kwetu ilikuwa salama. Hakuna upuuzi kama kule kwenu.

Kule kanda ya ziwa huwa mnatumwa na waganga mtembee na mamazenu ili mpate utajiri, mnalaana nyie watu ndio maana hamuendelei asilani mnabaki kulialia na kuona wivu wa kijinga.

Achana na tabia zile za kuua wazazi wenu kwa imani za uchawi. Mapanga shaa yalianzia kanda ya ziwa(kuna watu maalumu mnawakodi ili wakawaue ndugu zenu), achana na mauaji ya maalbino , kufukua makaburi yao, kuwakata viungo vyao kwa imani zenu mbovu za kichawi alafu wanakuja huku moshi Kcmc kutengenezewa viungo vya bandia. Nyie watu mna laana sana aisee daaah! hata hiyo ardhi yenu imejaa laana ya damu ya wazazi wenu na maalbino achana na laana na mikosi ya kutoa kafara na kuchukua ndugu zenu misikule imitunga.
 
Bahati nzuri afadhali hiyo tamaduni kwetu ilikuwa salama. Hakuna upuuzi kama kule kwenu.

Kule kanda ya ziwa huwa mnatumwa na waganga mtembee na mamazenu ili mpate utajiri, mnalaana nyie watu ndio maana hamuendelei asilani mnabaki kulialia na kuona wavu wakijinga.

Achana na tabia zile za kuua wazazi wenu kwa imani za uchawi. Mapanga shaa yalianzia kanda ya ziwa, achana na mauaji ya maalbino , kufukua makaburi yao, kuwakata viungo vyao kwa imani zenu mbovu za kichawi alafu wanakuja huku moshi Kcmc kutengenezewa viungo vya bandia. Nyie watu mnalaana sana aisee daaah! hata hiyo ardhi yenu imejaa laana ya damu ya wazazi wenu na maalbino achana na laana na mikosi ya kutoa kafara na kuchukua ndugu zenu misikule imitunga.
Haya mambo kule kanda ya ziwa ni utamaduni wao bwashee. Kama kucheza gobogobo Hawawezi kuacha. Ahahaaa.

Usifanye mchezo na nguvu ya Gamboshi. Only in lake zone regional!
 
Tatizo hilo mkuu
Tena tatizo kubwa sana,

Mauaji ya maalbino kwa imani zao za kichawi ili wapate utajiri , ilibidi dunia nzima iingilie kati kupiga kelele kuhusu hawa watu. Walituabisha sana kama nchi. Wanadhani utajiri unaletwa kwa kuua watu, kukata viungo vya malbino, kuua wazee wao na kuchukua watu misukule! Kumbe sisi wenzao tunafanyakazi mchana na usiku kwa bidii, juhudi na maarifa.
 
Tena tatizo kubwa sana,

Mauaji ya maalbino kwa imani zao za kichawi ili wapate utajiri , ilibidi dunia nzima iingilie kati kupiga kelele kuhusu hawa watu. Walituabisha sana kama nchi. Wanadhani utajiri unaletwa kwa kuua watu, kukata viungo vya malbino, kuua wazee wao na kuchukua watu misukule! Kumbe sisi wenzao tunafanyakazi mchana na usiku kwa bidii, juhudi na maarifa.
Wapumbavu sana, wakishindwa kupata utajiri wanaanza chuki dhidi ya waliofanikiwa wakidhani ndio watafanikiwa na wao. Wajinga mno.

Akili zao ndio zimeishia hapo mkuu, tuwasamehe bure.
 
Wachaga acheni upu..mbavu, mmekusanyanya na kuhamasishana huko kijijini hapa kushambulia Wasukuma! Narudia acheni Upu..mbavu,


Kama mmesoma sana Hongera kwenu, lakini hata makabila mengine nayo hayajalala nyuma katika elimu kwa nyakati hizi!! Kama ni madr au maprofesa kuwasasa wapo wengi tu kwa kila kabila, kwahiyo msiendelee kukariri mambo ya zamani!! Usomi uko kila sehemu


Narudia tena acheni upum.bavu nyie si bora sana kuliko makabila mengine 119 Tanzania!
 
Ulivyo zuzu na mpumbavu unadhani kuendesha nchi ni sawa na kuendesha ile mikokoteni yenu ya kuvutwa na punda kule majarubani.

Wee juha, ngoja nikufundishe nini maana ya kuongoza taifa, kuna kitu kinaitwa "check and balance!" Kwenye taifa lenye makabila zaidi ya 121 huwezi kujaza watu wakabila lako tu kwenye kila wizara na kila idara au watu wakanda yako tu ya ziwa eti kisa wao ni wengi, ingekuwa hivyo tungegawana wizara kikabila tukianza na makabila makubwa na mwishowe tungekuja kugawana idara hata kidini.

Tanzania sio taifa linalofuata itikadi ya kikabila ndio maana baba wa taifa alikemea hili kwa nguvu zake zote mpaka siku anachukuliwa na umauti, Leo Tanzania ingekuwa nchi ya wazanaki, wakurya , wajita, waikizu na wajaluo. Ingekuwa nchi ya wakatoliki tu.lakini nyerere aliipinga hili akasema hawezi kuchukua wakimbizi butihama na kuwapeleka ikulu.

Check and balance inatakiwa kutekelezwa ili kuleta umoja na uthabiti wa taifa lolote linalotaka kujenga utaifa wake, katiba yetu ni moja kati ya katiba mbovu sana, hata mwl nyerere aliwahi kusema kwa katiba hii ningeweza kuwa hata dictator! Katiba hii haimzuii Rais aliyeko madarakani kumteua hata mkewe kuwa waziri, haimzuii kuteua hata mawaziri wote kutoka kabila lake au dhehebu lake kadri apendavyo yeye! Ndio maana watu wenye kuona mbali wali-lilia sana "mabadiliko ya katiba"(katiba mpya), walijua anaweza kuja kutokea kiongozi waki-imla(dictactor) akafanya mambo ya ovyo kama haya ya kujaza watu wa kabila lake au kanda yake wizarani, idarani na kwenye sectors mbalimbali.

Mambo yaleyale aliyoyakataa nyerere tunaona huyu "dictator" anayafanya tena kwa nguvu kubwa sana, kujaza watu wakabila lake wizarani na idarani, kupendelea kwao na kanda yake kwa kutumia kodi za watanzania wote.
Ingekuwa maraisi wote waliopita wamejaza makabila yao wizarani Leo Tanzania tungekuwa wapi?! Ingelikuwa mwinyi, mkapa na kikwete wangependelea kwao kwakutumia kodi za watanzania wote Leo nchi ingejengwa matabaka yapi ya kikabila na kikanda?!



Alafu mtu huyu mnataka eti kumfananisha na Nyerere kweli?! Nyerere alikuwa mkabila hivi?! Nyerere alikuwa mkanda hivi?! Nyerere alikuwa na upendeleo wa kijiji chake?!

Tena eti bila hata haya wala aibu mnataka aongezewe miaka ?! Ili iweje?! Aigeuze Tanzania kama Kenya kwa ukabila wakikuyu na waluo ?! Au Rwanda kwa wahutu na watutsi?! Hebu amalize miaka yake minne iliyobaki asepe zake! Achape lapa! Asije kututumbukiza kwenye migawanyiko ambayo italibomoa kabisa taifa letu! Mwenyezi mungu apishilie mbali.
Usicheze na kabila kuu
 
Ahahaaa naona imekuingia sana wee bwabwa,

Nyie machokoraa wakule makoroboi huwa mnamatatizo ya akili hivyo sikushangai sana dogo,

Mnasumbuliwa sana na inferior complex syndrome! Mafanikio ya wachagga yana waumiza sana mioyo! Mnahisi kama mnataka kupasuka ahahahaaaa! Sasa sijui niwasaidiaje wajameniii zaidi ya kuwapa pole tu!

Aliyefanikiwa kafanikiwa tu bhagosha/mayooo hakuna namna jitahidini tu mfikie hata robo ya mafanikio yao! Lakini sio kujenga chuki na wivu dhidi yao! Maana chuki umuumiza yule aliyeibeba kifuani!
Wachagga tunao hapa wameipigika hawana kitu Kabisa. Mwingine Niko naye hapa no mlinzi hapa kwangu
 
Hakuna mantiki hapo zaidi ya kutaka vya bure.

Kwani kabila gani kwa sasa nchi hii halipo sehemu fulani ya nchi?

Wahindi kuwafananisha na wachaga ni uhayawani.

Wachaga wamezaa kwa kazi za kiboya tu,hao wenye miradi mikubwa 1/1M.
Unasumbuliwa na chuki mkuu,pita Tanzania nzima kila eneo Kama utamkosa MANGI Kama sio mtumishi wa umma Ni mfanyabiashara
Msingi mkuu wa wachaga Ni elimu na biashara (both)
 
Bahati nzuri afadhali hiyo tamaduni kwetu ilikuwa salama. Hakuna upuuzi kama kule kwenu.

Kule kanda ya ziwa huwa mnatumwa na waganga mtembee na mamazenu ili mpate utajiri, mnalaana nyie watu ndio maana hamuendelei asilani mnabaki kulialia na kuona wivu wa kijinga.

Achana na tabia zile za kuua wazazi wenu kwa imani za uchawi. Mapanga shaa yalianzia kanda ya ziwa(kuna watu maalumu mnawakodi ili wakawaue ndugu zenu), achana na mauaji ya maalbino , kufukua makaburi yao, kuwakata viungo vyao kwa imani zenu mbovu za kichawi alafu wanakuja huku moshi Kcmc kutengenezewa viungo vya bandia. Nyie watu mna laana sana aisee daaah! hata hiyo ardhi yenu imejaa laana ya damu ya wazazi wenu na maalbino achana na laana na mikosi ya kutoa kafara na kuchukua ndugu zenu misikule imitunga.
mkuu umepiga za utosi
 
Wachaga acheni upu..mbavu, mmekusanyanya na kuhamasishana huko kijijini hapa kushambulia Wasukuma! Narudia acheni Upu..mbavu,


Kama mmesoma sana Hongera kwenu, lakini hata makabila mengine nayo hayajalala nyuma katika elimu kwa nyakati hizi!! Kama ni madr au maprofesa kuwasasa wapo wengi tu kwa kila kabila, kwahiyo msiendelee kukariri mambo ya zamani!! Usomi uko kila sehemu


Narudia tena acheni upum.bavu nyie si bora sana kuliko makabila mengine 119 Tanzania!
Dawa imekuingia? Mbna hao wengine wakiwashambulia wachaga wewe unakaa pembeni kukenyua meno hukemei? Sasa tulia unyolewe
 
Unasumbuliwa na chuki mkuu,pita Tanzania nzima kila eneo Kama utamkosa MANGI Kama sio mtumishi wa umma Ni mfanyabiashara
Msingi mkuu wa wachaga Ni elimu na biashara (both)
Chuki?

Bado unaishi zama za ujima na hadithi za kukaririshwa.

Kabila gani kubwa ulienda mahali ukalikosa nchi hii?

Kwa sasa makabila yote watu wamesoma na wanafanyabiashara vilevile.
 
Wachagga tunao hapa wameipigika hawana kitu Kabisa. Mwingine Niko naye hapa no mlinzi hapa kwangu


Endelea kujifariji umaskini wa wasukuma haufikii umasikini wa wachagga.

Kukonda kwa Tembo sio sawa na kukonda kwa Mbwa.

Hata ulaya na marekani masikini wapo tena wengi tu wanaitwa Homeless, hakuna sehemu duniani isiyo na masikini wala matatizo, lakini huwezi kulinganisha umaskini wa wasukuma na umasikini wa wachagga.
Umaskini wa Marekani huwezi kulinganisha na umaskini wa India.

Dar es salaam ndio mkoa unaoongoza kwa utajiri ukifuatiwa na Kilimanjaro.

Geita ni mkoa wa pili kutoka mwisho kwa umasikini.

Tafakari.
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom