Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
Hata mpumbavu akikaa kimya huhesabiwa kuwa ana hekima. Zamani Kimei alikuwa kimya tulimuona mtu mwenye akili. Leo ameanza kuongea ndiyo tumejua ukilaza wake. Eti anamuomba rais ardhi kwaajili ya wananchi wenzake!Wewe kilaza ni nani umwambie PhD holder, bot and crdb credible, mpuuzi mmoja mzururaji tu.
Hata mmbunge wenu msukuma hawezi hata kumfungua kamba za viatu sembuse kilaza mmoja wa darasa la tatu B kutoka makoroboi, acha kuchekesha watu bwasheee. Kakojoe ukalale.