Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,074
- 33,781
Mbona siku hizi ni kama tags zangu hazifanyi kazi...
Yani naona sehemu mtu amenitag lakin sipati notification
Ngoja nitalifuatilia🔥
Magemu kuacha watuue tuu 😃😃😃
Tukutane baadae Fainal