Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,422
- 27,309
Mbona siku hizi ni kama tags zangu hazifanyi kazi...
Yani naona sehemu mtu amenitag lakin sipati notification
Ngoja nitalifuatilia🔥
Magemu kuacha watuue tuu 😃😃😃
Tukutane baadae Fainal
Mbona siku hizi ni kama tags zangu hazifanyi kazi...
😃mkuu mbona umeishia nusu mikeka kutandaza je🤣Hi people,
Title inahusika,
Mimi Skanka
Wewe je?
Njoo tucheze PUBG mkuu😃😃Game la mpira huwa lipo addictive sana, ukiweka zako ligi unaweza cheza siku nzima, mi huwa napenda kucheza Fifa na mortal kombat ila ya misheni huwa yananishinda nilijaribu kucheza far cry 2 nikashindwa nikaweka pembeni 😅
Mkuu hutaki tufunguke addiction zetu 😃😃Umekosea sana kuita wadau naheshimiana nao kina Selikavu na Razorblade 😂😂
kwa hili hapana mama...😅Kausha basi 😂😂
😭😭😭😭😭😭Sasa umelia nini!!
Bado unaendelea kulia kwa kitu hata hujui, basi uliza uambiwe...😭😭😭😭😭😭
Sitaki😭😭😭Bado unaendelea kulia kwa kitu hata hujui, basi uliza uambiwe...
Hii kitu sijui kama ntakuja acha
Conjugation.Hi people,
Title inahusika,
Mimi Skanka
Wewe je?
Mkono mmoja weka juu aka kukwea mnazi aka kushika bomba aka bakari nondoBakari Nondo
View attachment 3451372
Sio wewe ambaye una ghorofa au ni nogesha kijiweNazisaka...hapa nilishafukuzwa na baba/mama mwenye nyumba zisizopungua 15 kwa sababu ya hiyo tabia
Sema tu Mimi nasoma sitakusemea😁😁😁 nitarudi
labda kaburiniHii kitu sijui kama ntakuja acha
Sijakosea kabisa mkuuUmekosea sana kuita wadau naheshimiana nao kina Selikavu na Razorblade 😂😂