Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

Game la mpira huwa lipo addictive sana, ukiweka zako ligi unaweza cheza siku nzima, mi huwa napenda kucheza Fifa na mortal kombat ila ya misheni huwa yananishinda nilijaribu kucheza far cry 2 nikashindwa nikaweka pembeni 😅
Njoo tucheze PUBG mkuu😃😃
 
Back
Top Bottom