Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Kitu F-35 stealth ndani ya Israel

Unaongea kama moja ya mwanasayanc moja mashuhuri duniani

Kanyoe ndevu ulale kijana
baada ya wairan kuiteka ile drone na kuicomand itue nchini kwao,marekani walishituka mno na kujiuliza kuwa kumbe iran inaweza hijack US armed drone,yaani iliyo na makombora na kuicomand ishambulie US aircraft carrier,kitendo ambacho kingekuwa kashifa ya aina yake.
Marekani wamesita kutuma drone kujaribu kupenya anga la iran
 
Unaongea kama moja ya mwanasayanc moja mashuhuri duniani

Kanyoe ndevu ulale kijana
Hiyo ndio ukweli,ni ubabaishaji,hakuna utaalamu,hizo ndege zote zinategemea hali ya hewa.Hali ya hewa ikiwa siyo,hakuna kinachoruka,kitanguka tu.
 
Ndege gani katika historia na kuingia katika vita haijawahi kuanguswa
Ogopa sana wanakuletea advanced yake
 
halafu sehemu ya hiyo gase iko katika maji ya lebanon,sasa ili visima visishambuliwe israel anapanga kutoa contract kwa kampuni ya kirusi ndo ichimbe na kwa hali hiyo watakuwa na uhakika vitabaki salama kwani hezbollah watajizuia kushambulia interest za mrusi
yeah,ndio katika mpango huo pia israel na russia wamepanga kufanya joint millitary exercises cku zijazo....kuna mtu alikua ameongea hii issue hapo juu but akashindwa kuexplain akasema kuwa israel imeamua kuwaabandon america na kuelekea russia but ukweli ni kama ulivyosema mkuu..ili kulinda gas infustructure zake lazima ahusishe kampun za russia kudevelop miundombinu ya gas coz adui wengi wa israel pale middle east hawana uhasama na russia hvyo itakuwa ngumu kushambulia hio miundombinu...
 
Watu mnachangia kwa mihemuko yenu ya kidini ila mko vizuri komaeni huenda na jeshi letu likafika huko.
 
Kwa ushabiki wako wa dini za vitabu vya kuletwa utafurahi kutambua kwamba Israel ina wayahudi zaidi ya asilimia 90 huku wakifuatiwa na waislamu then wakristu wachache , mungu hana upendeleo wa kupendelea taifa moja
Israel ina Wayahudi asimia 70, Wakristo asilimia 20 na Muslims ni asilimia 10
 
Kwa Mataifa yenye kuwekeza kwenye military tech sidhan km hizi stealth 5th generation fighter jets hawazipatia counter measures zake......Mfano nchi ambazo zinawekeza tech ya stealth ni US,RUSSIA,CHINA,JAPAN,IRAN lazima tu watakua na uwezo wa kuzishusha....Na BTW hizi F-35 zimekua zikikabiliwa na software glich ndo maana hazijawa inducted kwenye US airforce japo zinatengenezwa i can say these F-35s are impontent stealth craft....Kama Israel wangepewa F-22 Atleasthizi zime prove combat capability compared to F-35.....F-117,F-22,F-35,RQ-175 SENTINEL DRONE hizi zote ni stealth lakin tunakumbuka RQ-175 iliweza kucheza na Anga ya *PAKISTAN* kwa miaka yote hiyo wakimtafuta OSAMA lakin walipo mess IRAN kwenda kupata image nzuri za upelelezi wa airdefence batteries na vinu vya nuclear wote tulishuhudia waliiona na kuicontrol wenyewe hadi IRAN na sasa wapo kwenye reverse engineering ya hiyo ndege so tech wanayo ndugu labda nchi za kawaida...US alivyombabe unafikiri asingepeleka hizo ndege ktk Space ya Russia,IRAN au CHINA kwenda kucheck km itaonwa?
 
Wayahudi wana siri kubwa, wao wanampa tenda mmarekani ya kutengeneza ndege zao zote za kivita huku wakisimamia utengenezaji wake kwa kutumia watalaam wao.

Zikishwa tengenezwa wanazinunua, wanazipeleka kwenye workshop zao kwa ajili ya marekebisho ili hizo ndege zikidhi viwango vya mazingira yao kivita.

Mmarekani ametoa kibali cha marekebisho ya ndege zake kwa israel pekee yake na mkataba hauruhusu israel kuifanyia marekebisho ndege ya mmarekani nchi nyingine yoyote duniani.

Kwa maana hiyo F-22 ya mmerekani ni tofaufi sana na ndege hiyohiyo iliyo kwenye jeshi la anga la israel.

Wanaoukumbuka miaka ya nyuma ufaransa iliwahi kuisaidia iraq kutengeneza kinu cha nyuklia, hicho kinu kilikua kinalindwa usiku kucha na rada za kutosha. Cha ajabu wayahudi walikishambulia usiku bila ndege zao kuonekana kwenye radar .

Waarabu waliwahi kumjia juu mrusi wakidai anawauzia rada mbovu kwa sababu hazioni ndege za israel bila kujua kuwa stealth technology kwa myahudi ilianza kutumika miaka mingi sana.

Ukweli jamaa wana technologia ya anga ambayo hata marekani hana.

Ndege zao zinaumahiri wa hali ya juu, rubani wao wa kijeshi ni moja za ajira zinazoajiri vichwa matata vya nchi hiyo.

Kwa hiyo hiyo F-35 stealth fighter jet wanaenda kuitengeneza upya na kuweka makorokoro kibao ya kieletronics ya kufa mtu.

RADAR ZA MASHARIKI YA KATI ZITAFUTE KAZI NYINGINE[emoji28]
Hicho unachokisema mkuu ni sahihi. Ukifuatilia swala zima la utengenezaji na kimkataba kati ya marekani na israel ni kweli kwamba israel wana kibali cha kufanya marekebisho ya ndege hizo pindi zinapofika kwao kwa lengo ya kukidhi mahitaji halisi ya waisrael.

Pia nilisoma mahali ambapo mmarekani kimkataba hatauza ndege hizo kwa nchi fulani kwa kipindi cha miaka kadhaa ijayo. Lengo ni waisrael kuwa na teknolojia hiyo.

Pia ni ukweli usio pingika hawa jamaa wana upeo wa juu sana katika maswala ya teknolojia, mipango ya kivita etc. Waweza rudia tukio la entebe, pale ndipo utajua hawa ni watu wa namna gani.
 
Kwa Mataifa yenye kuwekeza kwenye military tech sidhan km hizi stealth 5th generation fighter jets hawazipatia counter measures zake......Mfano nchi ambazo zinawekeza tech ya stealth ni US,RUSSIA,CHINA,JAPAN,IRAN lazima tu watakua na uwezo wa kuzishusha....Na BTW hizi F-35 zimekua zikikabiliwa na software glich ndo maana hazijawa inducted kwenye US airforce japo zinatengenezwa i can say these F-35s are impontent stealth craft....Kama Israel wangepewa F-22 Atleasthizi zime prove combat capability compared to F-35.....F-117,F-22,F-35,RQ-175 SENTINEL DRONE hizi zote ni stealth lakin tunakumbuka RQ-175 iliweza kucheza na Anga ya *PAKISTAN* kwa miaka yote hiyo wakimtafuta OSAMA lakin walipo mess IRAN kwenda kupata image nzuri za upelelezi wa airdefence batteries na vinu vya nuclear wote tulishuhudia waliiona na kuicontrol wenyewe hadi IRAN na sasa wapo kwenye reverse engineering ya hiyo ndege so tech wanayo ndugu labda nchi za kawaida...US alivyombabe unafikiri asingepeleka hizo ndege ktk Space ya Russia,IRAN au CHINA kwenda kucheck km itaonwa?

Umeelezea vizuri na swali hilo ni la msingi sana, USA alivyombabe na mwenye kupenda sifa na majigambo asingepeleka hizo ndege katika space za wenzake?

Walidharau sana waliposkia ndege yao imeshushwa na Iran, walipinga wakidai ni normal aircraft malfunction na Iran hana huo uwezo.

Baadae wakaanza kuomba warudishiwe ndege yao.
Warudishiwe vipi kwani kulikuwa na makubaliano ya mkataba walipoingia anga ya Iran!

Mwaka 2010 nilihudhuria maonyesho ya JWTZ pale Airwing nikamuuliza officer mmoja wa jeshi hivi mmejipanga vipi kwa electronic warfare kuendana na advancement ya technology ya sasa nilirefer mataifa makubwa ya Russia, USA nk. Alinijibu huko sisi bado hatuna hizo tech na hata plan ya kujipanga haikuepo. Sijui leo ni miaka 6 imepita hali ikoje.

Sasa kama huku hiyo Stealth itafanya kazi na ndege haitoonekana lakini sio kwa ma giant wa military tech.
 
Umeelezea vizuri na swali hilo ni la msingi sana, USA alivyombabe na mwenye kupenda sifa na majigambo asingepeleka hizo ndege katika space za wenzake?

Walidharau sana waliposkia ndege yao imeshushwa na Iran, walipinga wakidai ni normal aircraft malfunction na Iran hana huo uwezo.

Baadae wakaanza kuomba warudishiwe ndege yao.
Warudishiwe vipi kwani kulikuwa na makubaliano ya mkataba walipoingia anga ya Iran!

Mwaka 2010 nilihudhuria maonyesho ya JWTZ pale Airwing nikamuuliza officer mmoja wa jeshi hivi mmejipanga vipi kwa electronic warfare kuendana na advancement ya technology ya sasa nilirefer mataifa makubwa ya Russia, USA nk. Alinijibu huko sisi bado hatuna hizo tech na hata plan ya kujipanga haikuepo. Sijui leo ni miaka 6 imepita hali ikoje.

Sasa kama huku hiyo Stealth itafanya kazi na ndege haitoonekana lakini sio kwa ma giant wa military tech.
Kumbuka kuwa haya mataifa makubwa hayapigani kamwe yakipigana dunia lazima isimame.

Hata taifa moja kubwa linapo taka kuuza silaha zake kale lazima wakubaliane asije uza kwa kila..za akazitumia vibaya.

Miaka michache iliyo pita russia ilitaka kuiuzia syria makombola yake ya kivita, lakini kwa sababu syria inauhusiano kijeshi na husbolla wa lebanon marekani ikapinga kwa sababu kuuzia syria silaha kali ni kuweka mafuta ya vita kati ya husbolla na israel.
 
marekani walishituka mno na kujiuliza kuwa kumbe iran inaweza hijack US armed drone,yaani iliyo na makombora na kuicomand ishambulie

hahahaha wewe jamaa ni noma! hadi wanachojiuliza we unajua!
 
Lini wataanza kazi ya kufyeka Arabs? wanatakiwa wawamalize mapema kabla ya 2020
Unatakiwa uondoe jcho la chuk na mkono wa chuk ksha ukalale kwanza na utakapokurud humu ndo ucomment.
 
Walifaa kutumia lugha ya Ada badala ya C++, ingesaidia kupungua bei ya ujenzi wa F35
 
Hata marekan alitengeneza ndege kama hiyo isio onekana na rada yyt kwa kipindi cha miaka miwili safar ya kwanza tu kwenda iran wakaishusha wacha tuone na hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kudadadeki
 
Kuna mambo mawili wanayo fanya.

1. Wanatengeneza ndege ambayo haionekani kwenyw radar yako

2. Wanaingilia system ya radar yako ili wakati wao wanapita na ndege zao wewe kwenye rada yako wanakuwekea movie ya kanumba uendelee kuenjoy [emoji28] [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kudadadeki
Mnaishadadia Iran kama vile ni nchi yenye nguvu za kijeshi kweli, mlifanya vilevile kwa Iraq ambayo ilikuwa inaonekana kuwa babe zaidi, sasa hivi iko wapi? USA kwa investment yake ya kijeshi na akili nyingi mtaona siku za usoni kitakachomtokea Iran. Itatafutiwa sababu halafu kichapo kinafuata. Unakumbuka jinsi watalaam wa nyuklia wa Iran walivyouawa? Na ikalalamika kuwa ni njama za Marekani?

Huo uwezo mnaoibambika Iran, haina. Imekuwa ikisupport magaidi yote yanayoshambulia Israel na kutisha kuwa itaifuta kwenye ramani ya dunia lakini ni mikwara tu kama yenu humu. Missiles za waarabu wakiwa na backup ya waajemi, Iran, zimekuwa hazifui dafu Gaza na miji ya Israel kwa kudakwa na Iron Dome. Sasa Iran kama ina uwezo huo, imeshindwaje kuifuta Israel kwa kuwasupport waarabu?

Kitu kingine kinachotokea ni aibu, kuna watu kama Elungata anaamini kila kilichoondikwa kwenye internet, utamsikia akisema, Google au anakuletea Google link. Google ni search engine inayo index chochote kilichopo kwenye internet hata blog ya Mambe Kimambi na kukuletea results. Lazima ujue kuwa siku hizi kila mtu ana uwezo wa kuandika chochote kwenye internet, kama vile kwenye forums, blogs, websites, wiki n.k. Habari zilizo nyingi ni biased. Sisi kwenye research huwa tunacalculate bias error na confidence interval na kutreat parameters zingine scientifically tunapopublish kitu ambacho ni intensively researched kwa kutumia reliable sources. Halafu kujifanya unajua habari ya tech ya kivita pia unadanganya. Tech ya kivita ni kati ya top secrets. Ili uone kuwa tech hiyo sio mchezo, Tanzania mkiletewa bila kuiteka Stealth F-35B na kuambiwa mfanye reverse engineering, kwa akili zenu itawachukua karne na hamtaweza kutoa hata copy.

Mtu yeyote asichukulie maelezo ya watu humu kama absolute truth au genuine, chukulia upo kwenye kijiwe cha kahawa na kila mtu anaeleza chai zake.
 
Back
Top Bottom